mama yake na francis NYALALI aliyekuwa jaji mkuu.huyu mama huko kijijini kwao sengerema alikuwa anajitapa hivyo§Inasemekana mama yake bwana mkubwa mmoja alikuwa anasema,Tanzania hii nini yeye na mama yake Nyerere ndo wamezaa.
Make your parents proud of you one day.
Happy birthday my Bother.
mama yake na francis NYALALI aliyekuwa jaji mkuu.huyu mama huko kijijini kwao sengerema alikuwa anajitapa hivyo§
Happy birthday kabwe zuberi zitto
Jamani mtu alikuwa anajivunia mafanikio ya mwanae ana haki pia!kuna wazazi wengine huwa wanakuwa hawana hekima wala busara na sasa alieyewazaa kina Bill gates na mimi hapa nae asemeje???
bila shaka huyo mama elimu yake ni std 4
mama yake na francis NYALALI aliyekuwa jaji mkuu.huyu mama huko kijijini kwao sengerema alikuwa anajitapa hivyo§
Happy birthday kabwe zuberi zitto
Happy Birthday Zitto.
Kua mwanetu ukayaone ya dunia.
Wengine huwa hatusherekei siku hii, maana siku hii huwakumbusha mama zetu machungu makali waliyopitia kutupata. Kumbuka tuliozaliwa kabla ya uhuru hata pain killers hazikuwepo. Ni mama kusukuma tangu asubuhi mpaka jioni! Kwao siyo siku ya kukumbuka kwa furaha.