Happy birthday

Happy born day my shem, kaka wa mie, roho ya Husna, rafiki ake Shunie, Swahiba wa mume wangu!!!! Mungu akupe miaka mia nane, nakupenda lakini nampenda babu zaidi, namzimia Shunie wangu.
Tukutane baadae kwenye Keki

Asante shemeji
Mdogo wangu
dada yake na mshikaji wangu.
Eti Bonny kasema tuwaache na keki sisi twende kwenye vikao vya Heineken. [emoji23][emoji23]
 
Asante bro mzee wa mikakati. Tank think mwenyewe. wana bila wewe hawafiki kule ujue. Play smarter.

Wasije wakalowanisha na keyboard lkn.
Hilo usijali msee wee si unaniaminia,
lakini
Ngoja kwanza usizuge hapa, tunataka utuelekeze chimbo la kuja kula vyeki na vyuku vya kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…