Happy Fathers' Day From Call Me J

Happy Fathers' Day From Call Me J

Kirchhoff

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,735
Reaction score
8,541
Ingefaa leo iwe siku maalum kwa Yule Bwana kujimwaya mwaya na baba yake humo sosho mediani kama walivyofanya wengi. Hivi hamna popote mzee Albert Bashite amewekwa na maneno "Happy Fathers' Day" kuandikwa?

NB.. natumai nipo Jukwaa husika na povu la cocochanel silitaki!
 
Unamuongelea nani, hadi ukanitag!?
Anamwongelea Albati bashite wa kwa Daudi
Halafu kasema yupo jukwaa *hisika*kwahiyo kama ni povu we utoe tuuu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Anamwongelea Albati bashite wa kwa Daudi
Halafu kasema yupo jukwaa *hisika*kwahiyo kama ni povu we utoe tuuu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu ikikuwa nataka kuandika "husika" ila kwa kuhisi hisia za mtagiwa zitakavyokuwa ikabidi u iwe i.
 
Back
Top Bottom