Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Nakupenda Baba🥰!
🥂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes....tunawapa hongera wababa halisia ...wanaolea familia zao.....wanajijuaUzi tayar
Yani mana yake uzi kama huu ushafunguliwa leoYes....tunawapa hongera wababa halisia ...wanaolea familia zao.....wanajijua
Ohh bas waunganishe..sikuuonaYani mana yake uzi kama huu ushafunguliwa leo
Hahaa yaan wwYaani hivi hapa,ndio najua kwamba kuna siku ya wababa
Huoni wanapita tu wako kimya? Wanajijua...wachache mno..wengi ni sperm donorWengine masperm donor tu wapite hivii!!
Wa wababa leo Ni siku yenu semeni mnataka Nini??
Vikojozi tu Kama vikojozi wengineHuoni wanapita tu wako kimya? Wanajijua...wachache mno..wengi ni sperm donor
Kibonzo hiki kimenikumbusha mbali sana,kimenitoa machozi kila ninapomkumbuka mzee. Hicho kibonzo kinamaanisha magumu anayopitia baba. Mshua alifariki nikiwa mdogo. Lakini nakumbuka mahangaiko yake,kutwa hayupo home,akirudi,na mzigo begani,ng“ombe mbele,jembe mkononi,amechoka hatari. Hajala kutwa nzima. MUNGU amlaze mahala pema peponi babangu kipenzi...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Hatunaye,miaka mingi,lakini yuko sana moyoni mwangu. Matendo yake machache niliyoyashuhudia,yanaishi milele moyoni mwangu. Kaniachia kitu kikubwa sana maishani “UPAMBANAJI”. Sitamuangusha
Pole sana best..apumzike pema Baba😭😭! Poleni nyote mliopoteza babaKibonzo hiki kimenikumbusha mbali sana,kimenitoa machozi kila ninapomkumbuka mzee. Hicho kibonzo kinamaanisha magumu anayopitia baba. Mshua alifariki nikiwa mdogo. Lakini nakumbuka mahangaiko yake,kutwa hayupo home,akirudi,na mzigo begani,ng“ombe mbele,jembe mkononi,amechoka hatari. Hajala kutwa nzima. MUNGU amlaze mahala pema peponi babangu kipenzi...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Hatunaye,miaka mingi,lakini yuko sana moyoni mwangu. Matendo yake machache niliyoyashuhudia,yanaishi milele moyoni mwangu. Kaniachia kitu kikubwa sana maishani “UPAMBANAJI”. Sitamuangusha
Aminaa...!Pole sana best..apumzike pema Baba[emoji24][emoji24]! Poleni nyote mliopoteza baba
Mnatuchamba ndiyo maana tunaendelea kuwaangalia tu.Hatutii neno.😂😂😂😂Wengine masperm donor tu wapite hivii!!
Wa wababa leo Ni siku yenu semeni mnataka Nini??
Nhiii baghoshaMnatuchamba ndiyo maana tunaendelea kuwaangalia tu.Hatutii neno.😂😂😂😂