Happy Friday Mashost na ma sweetheats.....

Asante, but NO THANKS hii Ijumaaa imenikalia vibaya kabisa.......daaaaamn

TGIF anyways

Kuna mtu kanionea Smiles?:coffee:

habari zenu wajameni...

mi si n'kajua jana ijumaa bana....

nilijitundikiaje madrip sasa......!we!we!

yani hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa......

nalia na kahawa tu


tafuta supu ya pweza au ngisi ,shurti iwe ya moto limao na pilipili kichaa kwa wingi ,
Ushauri nasaa huu
 

FL1 hapo kwenye red umenikumbusha asubuhi wakati nawaandaa watoto kwenda shule, one of my sons akanikumbusha "mum, today is Friday; will you come back early from the office so that we go to Mary Brown?" Nilichoka!
Kwa hiyo hapa nina deni mwenzenu
 

yes dear nitajitahi kufanya yote niliwaambia ,usihofu juu ya mie

:coffee::twitch:😛opcorn:
 
FL1 hapo kwenye red umenikumbusha asubuhi wakati nawaandaa watoto kwenda shule, one of my sons akanikumbusha "mum, today is Friday; will you come back early from the office so that we go to Mary Brown?" Nilichoka!
Kwa hiyo hapa nina deni mwenzenu

Hapa Mama lazima utimize ombi la mtoto , unajua watoto ni lulu na furaha moyoni kama mungu akikujalia kuwa nao
utatamani wawe ubavuni mwako 24 hours a day.
 
FL1 hapo kwenye red umenikumbusha asubuhi wakati nawaandaa watoto kwenda shule, one of my sons akanikumbusha "mum, today is Friday; will you come back early from the office so that we go to Mary Brown?" Nilichoka!
Kwa hiyo hapa nina deni mwenzenu

Rafiki...Mary Brown ndio? Hebu nielekeze tunaweza anzisha urafiki wa watoto wetu pia.
 
Hapa Mama lazima utimize ombi la mtoto , unajua watoto ni lulu na furaha moyoni kama mungu akikujalia kuwa nao
utatamani wawe ubavuni mwako 24 hours a day.

Upo sahihi my dear, yaani hapa ratiba zangu itabidi zipangiliwe kiasi kwamba jioni iwe wazi kwa ajili yao..................... Kwa kweli wanafurahisha sana
 
.....
7.Tafadhari tusiache kutoa zaka Maana tutakuwa tunaomba mungu atupe mafanikio na tunayapata lakini sifa na utukufu tunashindwa kurudisha kwake


Love u all

FL;
Asante kwa kunikumbusha eneo hili nimekuwa sifanyi vizuri ingawa wenye shida nawasaidia sana.

Uwe na week end njema pia
 
Aisee Dseidii....mimi ni uji au mgonjwa hapo?


sasa wewe mbona nakusemesha pale hunijibu
au mpaka nianze na pls to meet you Asprin??????my name is FL1
aaa..
 
Rafiki...Mary Brown ndio? Hebu nielekeze tunaweza anzisha urafiki wa watoto wetu pia.

Ni kweli rafiki, tukutane basi Mary Brown jioni ili tuwatambulishe watoto. niPM basi nikuelekeze iko wapi rafiki
 
Kha! kumbe leo Furahi day!! Asanteh Shosti. Ngoja nitoe kabisa order ya K.moto pale Didis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…