Happy Friday Mashost na ma sweetheats.....

Njoo basi na wewe aarghhhh hicho kibabu kitakuzeesha bana kitakufanya uwe:sick::sick::sick: shauri zako ngoja mimi niende zangu kwa dorin

Mhhh kijana sikuwezi mara Dorin tena.?? Afrodenzi umeachana nae siku hizi au nimesahau??
 
Njoo basi na wewe aarghhhh hicho kibabu kitakuzeesha bana kitakufanya uwe:sick::sick::sick: shauri zako ngoja mimi niende zangu kwa dorin

Hiyo avatar kama ni wewe utanipata maana nimeizimikia ile mbaya
 

FL1 thanks nami nakutakia vivo hivyo.

Lakini hapo kwenye red nimepata ujumbe mfupi sasa hivi kuwa anasafiri kikazi sasa sijui ya kweli hayo?

Furaha za weekend iliyopita zimezimika ghafla.:A S 20:
 
FL1 thanks nami nakutakia vivo hivyo.

Lakini hapo kwenye red nimepata ujumbe mfupi sasa hivi kuwa anasafiri kikazi sasa sijui ya kweli hayo?

Furaha za weekend iliyopita zimezimika ghafla.:A S 20:


hahahaha Lily Flower atakuwa anasafiri kweli bana ondoa hofu na mashaka,kwa raha zako enyoy ur weekend
Utaniazima hivyo viatu nimechishe kwenye anivesali yangu ya miaka 18
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…