Njoo basi na wewe aarghhhh hicho kibabu kitakuzeesha bana kitakufanya uwe:sick::sick::sick: shauri zako ngoja mimi niende zangu kwa dorin
[/IMG]hahahaha umeona Avata ya Dorini hapo chini?Hommie tatizo ni chupa ile ile ya zamani! daaamn habari yake hommie!
???????????????????????
Njoo basi na wewe aarghhhh hicho kibabu kitakuzeesha bana kitakufanya uwe:sick::sick::sick: shauri zako ngoja mimi niende zangu kwa dorin
Desidii imekuwaje tena? Mbona maswali mengi?
Kha! kumbe leo Furahi day!! Asanteh Shosti. Ngoja nitoe kabisa order ya K.moto pale Didis
Wapenzi nawatakia Ijumaa njema na weekend yote kwa ujumla nadhani itakuwa njema sana hasa nikiangalia ndio mwisho wa mwezi wenyewe kwa wale wenzangu walio katika ajira na wale mabiziness man /women ndo mnafanya monthly stock taking..
1.Msisahau family zenu mkazamia Bar na kurudi home mifuko tupu.
2.Msiache kina Eliza wakatumia feza mpaka mifuko ikakung'utwa
3.Kunyweni kwa afya na si kwa mashindano
5.Make sure watoto wanafurahia weekend na baba na mama
6.Wale ma Infiiiiiii ..kumbukeni kutumia Protection lile janga likiingia ndo limeteketeza family na kuacha watoto wanateseka
7.Tafadhari tusiache kutoa zaka Maana tutakuwa tunaomba mungu atupe mafanikio na tunayapata lakini sifa na utukufu tunashindwa kurudisha kwake
Love u all
Desidii imekuwaje tena? Mbona maswali mengi?
Hiyo avatar kama ni wewe utanipata maana nimeizimikia ile mbaya
Mhhh kijana sikuwezi mara Dorin tena.?? Afrodenzi umeachana nae siku hizi au nimesahau??
Utakapokuwa naomba na mie niwepo😛opcorn:
Si unajua company muhimu
Hakikisha kibabu hakioni hii post kama unaweza kumpofua macho fanya hivyo
[/IMG]hahahaha umeona Avata ya Dorini hapo chini?
Niongeze na mimi kwenye list
FL1 thanks nami nakutakia vivo hivyo.
Lakini hapo kwenye red nimepata ujumbe mfupi sasa hivi kuwa anasafiri kikazi sasa sijui ya kweli hayo?
Furaha za weekend iliyopita zimezimika ghafla.:A S 20:
Utanipitia tutaenda wote
half Kg??, naona ka unaupunja huo mwili....😛opcorn:Mwenyewe namaliza Half KG. wewe unaweza maliza ngapi?
Mwenyewe namaliza Half KG. wewe unaweza maliza ngapi?