Happy Holidays wapare wenzangu

Happy Holidays wapare wenzangu

harikha...fwazii huu,ukionjwa tu elaa..........niwaa aha heistu vome,tuima
 
Hahaha hahaha hahaha
Umejua kunfurahishaaa!!!
Nani anakuficha eti
Sijui kwa nini umekuwa na roho mbaya siku hizi mchagga wangu[emoji23][emoji23][emoji39], mbona hunipendi tena?
 
Sijui kwa nini umekuwa na roho mbaya siku hizi mchagga wangu[emoji23][emoji23][emoji39], mbona hunipendi tena?
Mie mpare ujue.. Halafu sina hata roho mbaya aki! Mie nakupenda kama zamani ujue
 
Usangi, home sweet home!
FB_IMG_1547538626837.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi wavudee, ngoja nikuelekeze kuazia thame, unapanda kilengaa, kituo cha kwanza mwembe,unakuja mgungani...mbele kidogo njia ya kupanda thujii, unakuja mkanyeni....unapita mto pendwa ngambini, unafika vudee msanga hapo ndo home...ukitaka kwenda chome lazima upite hapo vudee.msimu kama huu kipindi hicho pale ndo town kwenyewe tunamsikiliza babu yangu kibaja na igitaa[ maimuna]kina babu issa na bibi kopina. raha sanaa, tujiburudishe na kajimbo haka tufunge mwaka. chai ni huruuuu mkate ningafuuu
Woyooooo wapare oyeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom