Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
๐๐๐๐ nyoko kweli ww ujuePoa. Asa usije utaonaz toka asubuhi nakuja nakuja mwishowe utazimwaga sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐ nyoko kweli ww ujuePoa. Asa usije utaonaz toka asubuhi nakuja nakuja mwishowe utazimwaga sasa
Nakusubiri babe.๐๐๐๐ nyoko kweli ww ujue
Hahaha hahaha hahahaSijambo mchagga wewe...
Sijui kwa nini umekuwa na roho mbaya siku hizi mchagga wangu[emoji23][emoji23][emoji39], mbona hunipendi tena?Hahaha hahaha hahaha
Umejua kunfurahishaaa!!!
Nani anakuficha eti
Mie mpare ujue.. Halafu sina hata roho mbaya aki! Mie nakupenda kama zamani ujueSijui kwa nini umekuwa na roho mbaya siku hizi mchagga wangu[emoji23][emoji23][emoji39], mbona hunipendi tena?
Shkamoo kakakumbe dada angu
Woyooooo wapare oyeeeeeeMi wavudee, ngoja nikuelekeze kuazia thame, unapanda kilengaa, kituo cha kwanza mwembe,unakuja mgungani...mbele kidogo njia ya kupanda thujii, unakuja mkanyeni....unapita mto pendwa ngambini, unafika vudee msanga hapo ndo home...ukitaka kwenda chome lazima upite hapo vudee.msimu kama huu kipindi hicho pale ndo town kwenyewe tunamsikiliza babu yangu kibaja na igitaa[ maimuna]kina babu issa na bibi kopina. raha sanaa, tujiburudishe na kajimbo haka tufunge mwaka. chai ni huruuuu mkate ningafuuu
Aacha tu mpwa
Huu utani huu hahahah