kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Vaa kaunda...Jobless leo nimewakuta nawawaza sana hawa Mzena hospital.
Hivi hawa wakuu wanatumia utaratibu gani kupata wafanyakazi wao nimekuwa nikitamani sana kufanya kazi kwenye hii hospitali lakini sijawahi yaona kabisa matangazo yao ya kazi.
Kwa anayejua Mzena wanatumia utaratibu gani kuajiri wataalamu wa afya naomba anijuze nitume maombi yangu asee au mwenye email yao anisaidie nitume cv zangu
Natanguliza shukrani
Sioni post zao ajira portal jamaaKama mpaka sasa hujui utaratibu bc ww pambana tuu uajiriwe hapo manispaa kwenu au ukijitahidi sana uajiriwe mirembe
Afu nipeleke cv zangu pale pale hospitalini auVaa kaunda...
..Ni hayo tu!!
Nenda pale kwenye Makaburi wanapochomea Banian usiku wa manane na CV yako, barua na viambatanishi vya vyeti vyako na nyaraka zako muhimu . utapata KAZI nzuri kabisa hospitalini MzenaJobless leo nimewakuta nawawaza sana hawa Mzena hospital.
Hivi hawa wakuu wanatumia utaratibu gani kupata wafanyakazi wao nimekuwa nikitamani sana kufanya kazi kwenye hii hospitali lakini sijawahi yaona kabisa matangazo yao ya kazi.
Kwa anayejua Mzena wanatumia utaratibu gani kuajiri wataalamu wa afya naomba anijuze nitume maombi yangu asee au mwenye email yao anisaidie nitume cv zangu
Natanguliza shukrani
Natamani kuwa sehemu ya team ya Mzena hospital hilo tu, ni hospitali naipenda sana kwa kweliKwanini unataka uajiriwe hapo unapopaita "mzena hospital "? Sababu huoni matangazo yao ya ajira au kuna lingine unatamani?
Msipapaishe sana. Hospitali inayotambulika kwa huduma zake ni MUHIMBILI.Hospitali ya usalama hiyo. Huingii pale kifala fala tu lazima uchujwe kama ni makapi au raw materials.
Asante sana ndugu yanguUTAPATA
Tunatofautiana anko..Mimi naitamani sana Mzena HospitalNaweza kujisikia fahari kufanya kazi MUHIMBILI au taasisi ya MOYO kuliko hapo Mzena.
Sijakuelewa anko unamaanisha niniHii mada kama ina harufu ya uchochezi. Watu kuzamia Cuba au Appolo ni kujihami siyo kwamba tuna maisha mabovu.