- Thread starter
- #21
Ni dini ganiDini ya kweli ni ile aliyoianzisha Mungu mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni dini ganiDini ya kweli ni ile aliyoianzisha Mungu mwenyewe.
Ni ya utakatifu. Mbali na dini hii, nyingine zote zimetoka kuzimu maana sio Mungu alizianzisha.Ni dini gani
Mbona hayo ni mafundisho ya Agano la Kale? Mbona kuna sheria nyingi tu za Agano la Kale hamzishiki mnashika sheria ya Sabato tu?Surah Al-Baqarah (2:65) states:
"And you had already known about those among you who violated the Sabbath, and We said to them, 'Be apes, despised.'"
Context of this verse:
This verse refers to a group of people among the Children of Israel (Bani Isra'il) who disobeyed the command of Allah regarding the Sabbath. Allah had ordered them to rest and refrain from working on the Sabbath (Saturday), but some of them violated this command. The story describes how, when they disobeyed, Allah punished them by transforming them into apes as a punishment for their disobedience and rebellion against His command. This serves as a reminder of the consequences of not following God's commandments and the seriousness of violating His rules.
Key Message:
This verse emphasizes the importance of obeying God's commands, as failure to do so results in punishment and negative consequences. It also serves as a warning to others to learn from the mistakes of those who disobeyed Allah in the past.
Waebrania 4:10
Maana, kila aingiaye mahali pa pumziko la Mungu atapumzika kutoka katika kazi yake kama vile pia Mungu alivyopumzika kutoka kazi yake.
BHN: Biblia Habari Njema
Kwanini kwenye wajane hakuna kuwajali wagane? Au wanaume wakifiwa hawana haki? Hayo maanndiko niyakibaguuzi yanabagua syo yakuzngaatiaDini pekee iliyo bora mbele za Mungu ni ile inayowajali wajane na yatima katika dhiki zao.
Mungu mmoja, Dini moja, Ubatizo mmoja.
"Ikumbuke siku ya sabato na uitakase, siku sita fanya kazi zako zote.."
Kama siku ya sabato unastarehe na hukufanya kazi siku sita unajidanganya
...Usifanye kazi wewe, wala mwana wako, wala mnyama wako, wala mjakazi wako, wala mgeni alie ndani ya malango yako.
Kama unaenda kanisani huku umeacha mgeni nyumbani, mwanao,housegirl anafanya kazi unajidanganya.
Kama unafanya dhambi zako, sabato ndio unajifanya mtakatifu unajidanganya. Mungu hadhihakiwi.
Nawakumbusha, siwahukumu badilikeni.
Msiabudu na kuiogopa siku, Mwabuduni Mwenyezi Mungu.
Wakolosai 2:16
Basi mtu asiwahukumu ninyi kwa vyakula,vinywaji,sikukuu,mwandamo wa mwezi au SABATO
Mwachiluwi mpe link ya kande lako ajilambeNi mwendo wa makande tu nmpaka kesho jioni.
Nani apike,Makande ni chakula cha wasabato
waandishi walikuwa mbele ya muda, maana sahivi wanaume wanakufa sana wanaacha wake zao.Kwa
Kwanini kwenye wajane hakuna kuwajali wagane? Au wanaume wakifiwa hawana haki? Hayo maanndiko niyakibaguuzi yanabagua syo yakuzngaatia
😂😂 Syokweli maana chanzo chakufa mwanaume ni mwanamkewaandishi walikuwa mbele ya muda, maana sahivi wanaume wanakufa sana wanaacha wake zao.
Sio kweli cha kufa mtu yeyote ni jambo lolote linalosababisha kifo; maradhi,ajali,majanga ya asili, kuuwawa n.kSyokweli maana chanzo chakufa mwanaume ni mwanamke
Dah☺️😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋🙌Sema mngekua mnagonga hiki kitu kwa uwazi, dah ingekua bonge la dini View attachment 3244540
Weekend KarimDah☺️😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋🙌
Sabato njema mtumishiSabato sio dini
Nitafutie msitari wowote kwenye Biblia wenye neno jumamosi na unatamka.kuwa sabato ni jumamosiNikikuambia jumapili ni sabato usibishe na usilete habari za mfalme wa rumi. Sidhani kama maandiko ya biblia unayajua vema na tafsiri zake
Hellen white aliyeanzisha hiyo.dini ya sabato ambayo matabu yake ndiyo mnayatumia alikuwa Mungu?Ni ya utakatifu. Mbali na dini hii, nyingine zote zimetoka kuzimu maana sio Mungu alizianzisha.