SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,919
wapi avatar wewe.....mmmh....happy valentines kwa wote
Mambo ya mugongo mugongo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapi avatar wewe.....mmmh....happy valentines kwa wote
Naam Mkuu DC ni njemba.
Nimekutumia ua Yaeda!wapi avatar wewe.....mmmh....happy valentines kwa wote
Smiles mlinzi wako nasubiri ratiba!Happy Valentine's to u too Babu..... Me loves u soo soo much yaani!! Mwaaah......
hivi dark city ni male?
Naam Mkuu DC ni njemba.
na mimi naona leo
but kuna thread huko nyuma ali apear kama female...so nashangaa
Happy Valentine to you too Dear Babu DC and all Jamii Forums Member!!!
Hivi imeshafika??
Alafu bora hata nisingekumbushwa kwasababu sina mpango nayo so bora ingepita niseme nilisahau!kumbe na wewe ulisahau kama mimi. Lol.
Aibu gani tena babu?Kwa hiyo unataka kusema kuwa hujajiandaa kwa lolote?
Hiyo itakuwa aibu ya mwaka woooote wa 2011!!
Alafu bora hata nisingekumbushwa kwasababu sina mpango nayo so bora ingepita niseme nilisahau!
Aibu gani tena babu?
Kumbe siyo kwamba ulikuwa umesahau bali huna tima na haya mashokolo (mambo) ya kithungu?
Kama huna time basi hakuna aibu. Mim nilidhani ni yale mambo ya kusahau birthday ya bibi au babu!
Kwa hiyo unataka kusema kuwa hujajiandaa kwa lolote?
Hiyo itakuwa aibu ya mwaka woooote wa 2011!!