Happy Women's Day

Umeniangusha sana, sio wakujisahaulisha kiasi hicho. Tokea jana tunajiandaa kuidhimisha siku adhimu wewe unauliza kuna nini leo?
jamani wew acha tu mambl mengi halaf nadhan jan nilitoka mapema sana humu kama sio dad emmyta kuniambia ningekuwa sijui kity wew acha tu dunia hii[emoji19]
 
Happy women's day!!
*Tufanye kazi kwa bidii kwa maendeleo yetu,familia zetu, na Taifa letu kwa ujumla.

*Tusambaze amani na upendo, kauli thabiti iwe nguzo yetu.

*Heshima kitu cha bure, tujiheshimu tuheshimike.

*Chuki/visirani/visasi ni hatari kwa afya zetu.

*Tumtegemee Mwenyezi Mungu kwa kila jambo.
Nawapenda wote..[emoji173]
 
Haya basi pendaneni huku mtaani si JF, Huku mtaani hampendani
 
Kipekee, nikutakie sherehe njema ya siku ya mwanamke. Umpitie na Thad
Mbona hujanipitia Khantwe? [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Inamaana ulimkubalia Samaritan ili kumridhisha tu? Kweli nimeamini wanawake HATUPENDANI[emoji18] [emoji18] [emoji18]
Asante sana..kwa nini nimpitie Thad? Naona wivu ujue

Wanawake hawaoneani wivu, hasa hasa siku ya leo. Kauli mbiu ni mpendane.

[emoji23] [emoji23] umejua kunikomesha haya nitampitia
 
Mbona hujanipitia Khantwe? [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Inamaana ulimkubalia Samaritan ili kumridhisha tu? Kweli nimeamini wanawake HATUPENDANI[emoji18] [emoji18] [emoji18]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bwana wee hata mwanaume hili lingemshinda. Uzuri nilikuwa muwazi sema yeye kajitia kunilazimisha kiaina kwa hiyo nikaamua kumkubalia yaishe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…