Happy Women's Day

Happy Women's Day

Jamani kwa nini? Ukija wewe utakuwa njia kuu na michepuko yote naiacha kweli tena


Nna moyo mdogo sana, hauwezi kuhimili vishindo. Hizo ngarambe zitanishinda tu..unafikiri ni rahisi kuiacha tabia kwa siku moja?
Leo acha tu tusherehekee siku ya wanawake.
 
Nna moyo mdogo sana, hauwezi kuhimili vishindo. Hizo ngarambe zitanishinda tu..unafikiri ni rahisi kuiacha tabia kwa siku moja?
Leo acha tu tusherehekee siku ya wanawake.
Niamini jamani nilikuwa nachepuka sababu sikupata mahali kwa kuweka mikono na miguu maana wote walikuwa pasua kichwa tu...kwako nitaanzaje labda kuchepuka, nikafuate nini [emoji13] [emoji13]
 
Jamani..ntafanyaje sasa mwenyewe ndo ushaamua. Clear rejection inauma ila inapona upesi. Thad njoo uone nimekuwa rejected mwenzio

Its not a rejection in such,just compatibility issues. Wee muulize Sakayo atakwambia, shunie na mzigua waliniambia hivyo hivyo kwamba ntakua njia kuu. Hadi sasa hivi natembea na chupa nimening'iniza drip.
 
Mzigua90 tafadhali nakuheshimu sana tena sana, naona unataka kuchafua thread kama sio kunisababishia BAN, mko wangapi viiiiiipi?
We na Shunie mlivyonisababishia maradhi ya moyo nikabaki na asaz nna hamu? Tena Sakayo shahidi yangu. Au umeamua kutumia mbinu mpya ya kuvurugana kwenye post kama Mahondaw?
Naomba mnihurumie nipumzike
Ebu niache kidogo leo jaman tusherehekee hii siku yetu wanawake

Nawapenda wanawake wa jf wakunyumba tupendane jamani kama unanichukia we jitahidi tu unipende Mungu azidi kutuweka
 
Ebu niache kidogo leo jaman tusherehekee hii siku yetu wanawake

Nawapenda wanawake wa jf wakunyumba tupendane jamani kama unanichukia we jitahidi tu unipende Mungu azidi kutuweka

Mie sina ugomvi mbona na wewe Mama yeyoo, naona kama unataka kunikwaruza kwa makusudi.
Heri ya siku ya wanawake.
 
Back
Top Bottom