Happy Women's Day

[emoji23] [emoji23] [emoji23] bwana wee hata mwanaume hili lingemshinda. Uzuri nilikuwa muwazi sema yeye kajitia kunilazimisha kiaina kwa hiyo nikaamua kumkubalia yaishe...
Rafiki nashukuru umeniokoa na mkono wa Khantwe maana usingemtakia ya peke yake angenimwagia tindikali bure [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Sikujitia kukulazimisha, sina roho mbaya. Ok, happy woman's day Khantwe naona ulitaka nikupe ya peke yako
 
Asante sister wa ukweli naomba umwambie heaven sent aje aniombee tena maana siku km hizi zinanikumbusha machungu na chuki yangu sina furaha hata kidogo mwenzio


Baba Yetu uliye mbinguni, muumba vyote na mwenye uweza wote, gusa maisha ya kapeace kwa namna ya kipekee.

Umjalie kukujua wewe Mungu wa kweli, umpe amani itokayo kwako, umpe nguvu na ujasiri wa kusimama imara atakapofikwa na nyakati ngumu za majaribu.

Atambue kwamba wewe ndiwe Mungu ngome na kimbilio la wote. Wajalie upendo na uvulivu wanawake wote wanapokumbuka siku yao leo hii

Wabariki wanawake wote....na wote tuseme Aaaamen!
 
Amen! Kumbe u baba mchungaji?
 
Duh asante sana kwa maombi yako best ubarikiwe mno kidogo ntachangamka labda
 
Tuko Wangapi? [emoji17]

Mzigua90 tafadhali nakuheshimu sana tena sana, naona unataka kuchafua thread kama sio kunisababishia BAN, mko wangapi viiiiiipi?
We na Shunie mlivyonisababishia maradhi ya moyo nikabaki na asaz nna hamu? Tena Sakayo shahidi yangu. Au umeamua kutumia mbinu mpya ya kuvurugana kwenye post kama Mahondaw?
Naomba mnihurumie nipumzike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…