[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Rafiki nashukuru umeniokoa na mkono wa Khantwe maana usingemtakia ya peke yake angenimwagia tindikali bure [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ee tumechangia
Mhurumie tu...usingesema ningempitiaUmeharibu sana kunidanganya utampitia kisha ukaniuza. Itabidi nimhurumie tu dada wa watu
Mchepuko [emoji125] [emoji125]Huyo unaesema bebe alikua kwako ni nani? Au sio mme?
Mchepuko [emoji125] [emoji125]
Jamani kwa nini? Ukija wewe utakuwa njia kuu na michepuko yote naiacha kweli tenaNimenyoosha mikono juu
Jamani kwa nini? Ukija wewe utakuwa njia kuu na michepuko yote naiacha kweli tena
Niamini jamani nilikuwa nachepuka sababu sikupata mahali kwa kuweka mikono na miguu maana wote walikuwa pasua kichwa tu...kwako nitaanzaje labda kuchepuka, nikafuate nini [emoji13] [emoji13]Nna moyo mdogo sana, hauwezi kuhimili vishindo. Hizo ngarambe zitanishinda tu..unafikiri ni rahisi kuiacha tabia kwa siku moja?
Leo acha tu tusherehekee siku ya wanawake.
Niamini jamani nilikuwa nachepuka sababu sikupata mahali kwa kuweka mikono na miguu maana wote walikuwa pasua kichwa tu...kwako nitaanzaje labda kuchepuka, nikafuate nini [emoji13] [emoji13]
Jamani..ntafanyaje sasa mwenyewe ndo ushaamua. Clear rejection inauma ila inapona upesi. Thad njoo uone nimekuwa rejected mwenzio
Kwa hiyo unahisi nakudanganya kwa vile Mzigua90 alikudanganya? Yule mwongo mi namjua[emoji13] [emoji13]Its not a rejection in such,just compatibility issues. Wee muulize Sakayo atakwambia, shunie na mzigua waliniambia hivyo hivyo kwamba ntakua njia kuu. Hadi sasa hivi natembea na chupa nimening'iniza drip.
Hahaha[emoji23] [emoji23] uzuri mimi na wake wenzangu kopo na mfuniko...bebe yupo juzi tu alikuwa kwangu kwani tuko wangapi shosti
Ebu niache kidogo leo jaman tusherehekee hii siku yetu wanawakeMzigua90 tafadhali nakuheshimu sana tena sana, naona unataka kuchafua thread kama sio kunisababishia BAN, mko wangapi viiiiiipi?
We na Shunie mlivyonisababishia maradhi ya moyo nikabaki na asaz nna hamu? Tena Sakayo shahidi yangu. Au umeamua kutumia mbinu mpya ya kuvurugana kwenye post kama Mahondaw?
Naomba mnihurumie nipumzike
Ebu niache kidogo leo jaman tusherehekee hii siku yetu wanawake
Nawapenda wanawake wa jf wakunyumba tupendane jamani kama unanichukia we jitahidi tu unipende Mungu azidi kutuweka
Asante baba yeyooMie sina ugomvi mbona na wewe Mama yeyoo, naona kama unataka kunikwaruza kwa makusudi.
Heri ya siku ya wanawake.
bora utangulie...mi badoNarudi maana anatia huruma kweli na sms zake
hulka tu! na umaskini pia unasumbua!nadhan na elimu za kujtambua HATUNA !