Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Habari wanajukwaa!
Ama baada ya salamu kwa kawaida siku kama ya leo 8 March huwa nimezoea kuona watu wakianziasha mada mbali zinazowahusu akina mama na akina dada pamoja na wasichana kwa minajili ya kusherehekea siku ya wanawake duniani, ila katika mwaka huu 2020 naona hali ni tofauti na ilivyozoeleka.
Nimejaribu kupekua huku na kule lakini bila mafanikio sijakuta mada zinazowahusu.
Baadhi ya majukwaa watu wanajadili kuhusiana na video isiyofaa inayotrend mitandaoni huku majukwaa mengine wakijadili kuhusu mchezo wa Simba na Yanga. Binafsi sijafurahisha na watu kuisahau siku ya leo. Kwa kuwakumbuka wamama, wadada zetu.
MIMI NALIANZISHA
Kuna siku nilichelewa kurudi nyumbani! dingi akanikata stick nyingi sana akaniambia hakuna kula mchana! mtembezi hula miguu yake, halafu mama ndio alikua anaepua maharage jikoni na kitu cha wali kilikua tayari kinanukia hatari!! Nikasema haya bana, nikaenda kulala kwa huzuni kubwa sana huku tumbo likiunguruma kwa njaa!! watu wakala mimi nikawa najipitisha ili hata mzee anionee huruma nile lakini wap!!
Nikashangaa mama ananiita kwa Hasira, "We mpumbavu wewe kuja hapa, chukua hiyo ndoo uende ukachote maji!!" nikazidi kuumia kuona mama nae ananipa kazi na njaa yote ile!! basi nikasepa kinyonge nikiwa njiani nikahisi kwenye ndoo kuna kitu kufungua hivi nakutana na bakuli kubwa limejaa Wali namaharage
ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
Ama baada ya salamu kwa kawaida siku kama ya leo 8 March huwa nimezoea kuona watu wakianziasha mada mbali zinazowahusu akina mama na akina dada pamoja na wasichana kwa minajili ya kusherehekea siku ya wanawake duniani, ila katika mwaka huu 2020 naona hali ni tofauti na ilivyozoeleka.
Nimejaribu kupekua huku na kule lakini bila mafanikio sijakuta mada zinazowahusu.
Baadhi ya majukwaa watu wanajadili kuhusiana na video isiyofaa inayotrend mitandaoni huku majukwaa mengine wakijadili kuhusu mchezo wa Simba na Yanga. Binafsi sijafurahisha na watu kuisahau siku ya leo. Kwa kuwakumbuka wamama, wadada zetu.
MIMI NALIANZISHA
Kuna siku nilichelewa kurudi nyumbani! dingi akanikata stick nyingi sana akaniambia hakuna kula mchana! mtembezi hula miguu yake, halafu mama ndio alikua anaepua maharage jikoni na kitu cha wali kilikua tayari kinanukia hatari!! Nikasema haya bana, nikaenda kulala kwa huzuni kubwa sana huku tumbo likiunguruma kwa njaa!! watu wakala mimi nikawa najipitisha ili hata mzee anionee huruma nile lakini wap!!
Nikashangaa mama ananiita kwa Hasira, "We mpumbavu wewe kuja hapa, chukua hiyo ndoo uende ukachote maji!!" nikazidi kuumia kuona mama nae ananipa kazi na njaa yote ile!! basi nikasepa kinyonge nikiwa njiani nikahisi kwenye ndoo kuna kitu kufungua hivi nakutana na bakuli kubwa limejaa Wali namaharage
HAPPY WOMEN'S DAY!
ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]