Happybirthday to Teamo and I.

Happybirthday to Teamo and I.

HAPPY BIRTHDAY MY DIAZ................God bless you all:A S 8:
 
Ikawaje tena baada ya :A S 100: ukapotea ghafla?

Si unajua mida ile ni kujiandaa ila jana mpwa game bila bila halafu lilikuwa game la mchangani mtu alikuwa analalamika tumbo linamuuma ikabidi mpwa asikilizie maumivu tu moyoni nilikuwa :fencing😛ia :mad2: nikasema poa haina noma
 
happy birthday my diaz.................god bless you:a s 8:
 
Si unajua mida ile ni kujiandaa ila jana mpwa game bila bila halafu lilikuwa game la mchangani mtu alikuwa analalamika tumbo linamuuma ikabidi mpwa asikilizie maumivu tu moyoni nilikuwa :fencing😛ia :mad2: nikasema poa haina noma
HAhahahahah!😛layball:😛layball:😛layball:😛layball:😛layball:😛layball:😛layball:
 
Hiki kiuno kinahitaji matibabu kabambe kama kukandwa n.k

Nenda kule alikoenda Aspirin sikumbuki jina alipata huduma nzuri na pia unaweza kuendeleza infidelity ukishakandwa unaanza upya.
 
:becky::becky::becky: Jana nili:A S 100::A S 100: na wapwaz walikuwa wana du ze nidful ndio wakanipa habari ya huko

Huku Chuda ukija mtu kama wewe utaomba uhamie mm ilikuwa kazi ikabidi Dr. aning'oe kinguvu
 
Yaani mpaka kiuno kimeteguka huku Chuda noma

Pole MKUU ila nakumbuka kuna mwajamvi mmoja naye alitenguka kiuno ana Daktari wake spesho labda umwombe akusaidie maana alipewa tiba nzuri sana
 
Nenda kule alikoenda Aspirin sikumbuki jina alipata huduma nzuri na pia unaweza kuendeleza infidelity ukishakandwa unaanza upya.

Umenikimbusha na mimi ngoja nimuulize mpwa wangu Asprin ili sehemu aliyoenda kupata matibabu kipindi kile ilikuwa ni wapi na maeneo gani
 
Ndio maana tunashauriwa tuwe na PLAN B! incase ofu imejensi!

Itabidi unipe plan b, mpwa hivi ile sehemu uliyoenda kupata matibabu kipindi kile ilikuwa ni wapi nahitaji na mimi huduma hizo
 
Hepi besdei Teamo, Carmel 🙂A S 8🙂 na Born Town......
Zero pub......
 
Back
Top Bottom