Elections 2010 Harakati za Dr Slaa Na Chadema Katika Picha 2010

Elections 2010 Harakati za Dr Slaa Na Chadema Katika Picha 2010

kinepi_nepi

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2007
Posts
869
Reaction score
239
Jangwani 12.jpgjangwani 5.jpgJangwani 11.jpgJangwani 14.jpgslide_9220_123190_large.jpgslide_9220_122251_large.jpgslide_9220_122269_large.jpgView attachment 14856slaa_akihutubia_mbalizi.jpgslide_9220_122265_large.jpgDr. Slaa 10.jpgDr. Slaa 5.jpgDR. Slaa 8.jpgdr slaa moshi2.jpgDr. Slaa 12.jpgdr slaa moshi.jpgDR. Slaa 6.jpgView attachment 14846dr slaa moshi1.jpgDr. Slaa 11.jpgDr. Slaa 7.jpgdr slaa moshi3.jpgDr. Slaa2.jpgDr. slaa4.jpgView attachment 14839
pencil.png
 
Hakikisha unaziangalia zote 25, utaona DR. Slaa akiapishwa kuwa Raisi wa awamu ya Tano Tanzania huru. Wengi wamefurahia ushindi huu.
octaber 31 2010 tupige kura .
 
Naona umetuwekea picha za Obama na Christmas Tree nyuma ya White House. Swali zinausikaje na harakati za CHADEMA na Dr. Slaa?
 
Naona umetuwekea picha za Obama na Christmas Tree nyuma ya White House. Swali zinausikaje na harakati za CHADEMA na Dr. Slaa?

Umemwona Dr Slaa lakini, kina Obama wanachoma Nyama wanasherehekea kumwona Dr anakaribia ikulu.
 
Je... wamejiandikisha kupiga kura?? isije ikawa ni mavuvuzela tu, mwisho wa siku hawapigi kura
 
Je... wamejiandikisha kupiga kura?? isije ikawa ni mavuvuzela tu, mwisho wa siku hawapigi kura
hayo ndo maneno yenu ccm tumeyazoea kwa hiyo waliojiandikisha ni akina nani kama si wananchi!??
 
Tunamwamini, Tunamhitaji. Dr Slaa, you are the hero of our country!! inabidi tuanzishe siku ya kupinga ufisadi nchini.
 
bado picha moja wakuu, picha itakayopigwa uwanja wa uhuru wakita dokta wa falsafa akiapishwa kuwa rais wa awamu ya 5. ntakuwa mitungi siku hiyo sipati picha.
 
Back
Top Bottom