Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Rafiki hata hivyo 5:1Hivi hawa wanaojinasibu tutachezea kichapo...kichapo gani kile cha kichawi??? Mburaaaa...yani kujitoa akili kumfunga Simba mpk leo mnaweweseka hamuamini macho yenu...kipigo kipigo...tena cha kumwaga mimaji ya maiti uwanjani...msyuuuuu hebu mtupishe...
Kama kuna timu haijawahi kuchezea kichapo ktk kwa mnyama ndo iandike humu....
Maajabu haya ya vibonde vya Ihefu..
Inauma sana, poleni jamani😂