Harakati za kocha mpya simba sc

Rafiki hata hivyo 5:1
Inauma sana, poleni jamani😂
 
Tatizo sio kocha tatizo viongozi ndumilakuwili. Hata aje Carlo Ancelotti na msaidizi wake akawa Pep Gurdiola kama bodi ya Simba haitaondoa MO na vibaraka wake ni kazi bure.
 
Kapombe alikuwamo, Mkude una jingine
 
Makocha wanaoajiriwa simba wana moyo sana. Maana msimu mmoja tu ukimalizika, atatengenezewa zengwe mpaka afukuzwe.
 
Duuuh! kama kafundisha hadi Southampton,basi Simba watakua wamejitahidi wakimleta,lakini ajue Gamond yupo.... aje kwa tahadhari.
Hv ni mm kidogo ngeli imepita left au🤔🤔mbona kwa nlivoelewa ni kama alicheza Southampton sio alifundisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Simba had kuja kukaa sawa, bas Mie ntakua natembelea mkongojo.
Team hata muamko na ari ya kutafuta mafanikio hakuna, afu kutwa kujifananisha na Al ahly, wydad, Mamelodi.

Inaboaa kisengee yaan, aaaah
 
Nimeuliza wachezaji sio mchezaji, Mkude bado yupo Simba?

Huyo Kapombe si ndio alikuwa uchochoro wenyewe? Gamondi hana la kutazama kwake.
Umeuliza wachezaji waliokuwepo nimekutajia Kapombe na Mkude sababu wote wanacheza tofauti Mkude hayupo Simba. Hoja yenu ilikuwa zile goli tano mlizorwanga wachezaji wore hawapo kwa sababu ilikuwa zamani .
 
Umeuliza wachezaji waliokuwepo nimekutajia Kapombe na Mkude sababu wote wanacheza tofauti Mkude hayupo Simba. Hoja yenu ilikuwa zile goli tano mlizorwanga wachezaji wore hawapo kwa sababu ilikuwa zamani .
Tatizo umedandia mjadala huelewi hata naongelea nini, rudi kanisome vizuri uelewe kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…