Harakati za kuidai 'CHADEMA Asilia' zitaanza tarehe 26 baada ya matokeo!

Harakati za kuidai 'CHADEMA Asilia' zitaanza tarehe 26 baada ya matokeo!

Hatujali kitu hapa. Tunachojua ni kwamba UKAWA ndio mpango mzima 25th Oktoba
 
Hatujali kitu hapa. Tunachojua ni kwamba UKAWA ndio mpango mzima 25th Oktoba

Wewe nae muita slaa Dr mihogo sisi chadema tunakujua team lowasa na wote tulikuw hapa jf ukipinga harakati za chadema umeletwa na lowas unajiita chadema we kweli kavu
 
Mkuu, CDM asilia ni SACCOS ya Mzee Mtei na mkwe wake Mbowe. Wengine wote wasiokubaliana itabidi watoke waanzishe CDM mpya.

Wakati huo, kama itatokea, Lowassa atakuwa anachunga ng'ombe wake!
 
Chadema aisee. Haina hata msimamo. Mara ipinge ufisad mara iungane na mafisadi. Yaani aibu tupu.
 
Chadema tuliyokuwa tunaijua ilikuwa ile ya kina Dr Slaa, zito, lisu, msigwa, mdee, Mnyika. Makamanda wenyewe OG.

Hii ya Makamanda kina lowasa na wenzie mafisad toka ccm Hata haielewek eleweki. Ni chadema feki.
 
Mkuu, CDM asilia ni SACCOS ya Mzee Mtei na mkwe wake Mbowe. Wengine wote wasiokubaliana itabidi watoke waanzishe CDM mpya.

Wakati huo, kama itatokea, Lowassa atakuwa anachunga ng'ombe wake!

Umechelewa hupunguzi na siajabu unaongeza kura za Lowasa
 
Chadema tuliyokuwa tunaijua ilikuwa ile ya kina Dr Slaa, zito, lisu, msigwa, mdee, Mnyika. Makamanda wenyewe OG.

Hii ya Makamanda kina lowasa na wenzie mafisad toka ccm Hata haielewek eleweki. Ni chadema feki.

Kama ni ww ni muumin wa dini ya kikristo utajua kuwa Mtume Paulo alifaniwa sana na zaid hata ya wale mitume OG kumi na mbili waliokuw wanazunguka na Yesu kila mahal, japokuw Paulo mwnyw alikuw mwuaji wa watu wa kanisa.
 
Mwenzenu anajali faida tu:RUZUKU,Kiongozi Upinzani Bungeni(KUB) na PESA(10Billion)ZA LOWASSA.
 
wewe ni mwehu mzururaji mkosi mkubwa ktk watanzania.shindwa kabisa na ikibidi potelea mbali kabisa
 
Back
Top Bottom