Harakati za kuidai 'CHADEMA Asilia' zitaanza tarehe 26 baada ya matokeo!

Harakati za kuidai 'CHADEMA Asilia' zitaanza tarehe 26 baada ya matokeo!

Wewe huo ugojwa ulionao si salama kwako. Wewe CHADEMA unaijua? Wewe si una gojwa la meningitis wapi na wapi na CHADEMA. Kwa ujumla unachefua ile mbaya.

Tarehe hiyo hiyo uliyoipanga Lumumba na Masaki utashuhudia CHADEMA imara kimbilio la wanamabadiriko wasio shikiwa akili na Masaki, CCM au ACT
 
Wewe nae muita slaa Dr mihogo sisi chadema tunakujua team lowasa na wote tulikuw hapa jf ukipinga harakati za chadema umeletwa na lowas unajiita chadema we kweli kavu
Kwa mantiki ya kauli yako utawapigia kura nani sasa!! UKAWA au CCM maana umekaa kaa kama huipendi UKAWA na upinzani kwa ujumla!
 
Mliochanganyikiwa mko wengi, mwenzako wa Zinduka karibu anafikisha zinduka 40 ambazo hazimsaidii chochote.
 
We gamba bado unanjozii za alinacha. Mmetia majaribuni dr. Mihogo mnafikiri hjyo hoja yenu dhaifu ya neno 'asilia" mtafaulu kuiyumbisha chadema
 
Majibu yako utayapata hapahapa. Ccm mlitamani sana chadema wavurugane lakini halikutokea. Tulianza na Mungu na kesho tunamaliza na Mungu
 
Kwakweli hapo Mbowe lazima aachie ngazi hata kama chama ni cha mkwewe....hakuna jinsi tena..wengi tumekimbia chadema baada ya Lowassa kukaribishwa na Dr slaa kudhalilishwa
 
Kwa anaejua sisa anajua role ya heavy weight politician km lowassa leo vijiji vyote ukienda lazma ukute bendera c chini ya100 za cdm kaz ambayo ingechukua miaka kuja kwa low miez miwil tu ngoma mteremko
 
Kwa anaejua sisa anajua role ya heavy weight politician km lowassa leo vijiji vyote ukienda lazma ukute bendera c chini ya100 za cdm kaz ambayo ingechukua miaka kuja kwa low miez miwil tu ngoma mteremko

Acha uongo! Bendera zilikuwepo nyingi tena watu walijitolea kununua mwaka 2010. Hii ya sasa ni ya mjini na ni kumwabudi Lowassa hakuna sera wala nini!
 
Kwa kweli, CHADEMA Asilia lazima idaiwe, Mbowe kuuza chama na kuvunja kabisa misingi ya chama ya kupambana na ufisadi ni mabo yasiyokubalika, inafaa tumshauri Dr. Slaa arudi kupigania CHADEMA Asili, Hawa wapiga dili wameharibu chama chetu kabisa.
 
Sijawah ona mbumbumbu kama wewe chama chochote cha siasa kila mwanachama anahaki sawa utakuaje wa asili bila kua mpya kwanza?kama chama kinataka uasili tu basi hakitaendelea kamwa.
 
Majibu yako utayapata hapahapa. Ccm mlitamani sana chadema wavurugane lakini halikutokea. Tulianza na Mungu na kesho tunamaliza na Mungu

Hakuna Mungu anayesapoti ufisadi, tulianza na Mungu, mnamaliza na fisadi
 
Funga kwanza bakuli lako, kwanza wewe hujui chadema peleka ujinga huko. Don't mention chadema again zumbukuku wewe
 
Bring back our Dr Slaa .....short cut kwenda ikulu imedhalilisha chama ....imewaweka wabunge wa Chadema rehani ...huu ulaghai, tamaa lazima viongozi hasa Mwenyekiti alipe gharama zake ....
 
Back
Top Bottom