jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya Mbowe kukataa mipango ya Dr Slaa na kuchukua hatua za mcheza kamari wa kisiasa sasa ni wazi wanachadema asilia wataanza kuidai chadema yao iliyotekwa na mafisadi.
Harakati hizi zitaanza tarehe 26/10/2015 na kuendelea.
Na wameanza sasaAaahh kabisa,lazima waidai chadema yao
Ataibuka tuKiongozi wetu ni nani?.....maana nimechoka kuburuzwa
NakushukuruKaribu na ndoto njems
Zinduka zimelipa eeh?Mliochanganyikiwa mko wengi, mwenzako wa Zinduka karibu anafikisha zinduka 40 ambazo hazimsaidii chochote.
Imekufa rasmiCHADEMA inakwenda kupata kipigo kitakatifu leo kuanzia kwenye ubunge mpaka urais kutokana na maamuzi ya kipuuzi ya kumpokea lowassa kwa papara. Inatuumiza sana tuliotaka mabadiliko ya kweli kwani safari ya mabadiliko imerefushwa!
Thread za vichwa maji ni shidaaaa.
endeleeni kumdanganya MboweSawa Lipumba
ha ha ha haChadema tuliyokuwa tunaijua ilikuwa ile ya kina Dr Slaa, zito, lisu, msigwa, mdee, Mnyika. Makamanda wenyewe OG.
Hii ya Makamanda kina lowasa na wenzie mafisad toka ccm Hata haielewek eleweki. Ni chadema feki.
upo wapi kwa sasa brother?Mimi nitakua mstari wa mbele..
As long as the invited will be herding.