meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Hatujali kitu hapa. Tunachojua ni kwamba UKAWA ndio mpango mzima 25th Oktoba
Hatujali kitu hapa. Tunachojua ni kwamba UKAWA ndio mpango mzima 25th Oktoba
Mkuu, CDM asilia ni SACCOS ya Mzee Mtei na mkwe wake Mbowe. Wengine wote wasiokubaliana itabidi watoke waanzishe CDM mpya.
Wakati huo, kama itatokea, Lowassa atakuwa anachunga ng'ombe wake!
Chadema tuliyokuwa tunaijua ilikuwa ile ya kina Dr Slaa, zito, lisu, msigwa, mdee, Mnyika. Makamanda wenyewe OG.
Hii ya Makamanda kina lowasa na wenzie mafisad toka ccm Hata haielewek eleweki. Ni chadema feki.
Ndiyo wanaitwa makamanda. wewe unataka waitwaje!Hivi Sumaye, Liwasa, Mgeja, Msindai, Masha, Kingunge nk nao wanaitwa makamanda?