Pre GE2025 Harakati za RC Juma Homera katika jimbo la Namtumbo, zinaharibu kazi nzuri inayofanywa na Rais Samia

Pre GE2025 Harakati za RC Juma Homera katika jimbo la Namtumbo, zinaharibu kazi nzuri inayofanywa na Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu wameshapiga kelele sana hizo nafasi za ukuu wa mkoa na wilaya ziwe za kuchaguliwa na kura za wananchi.
 
Siasa huwa haina huruma ukibaki kulialia mitandaoni Jimbo linaondoka kweli.

Homera ni mchapakazi Sana alipokua Tunduru alikua vizuri Sana sijajua huko aliko sasa.

Vita ajitahidi kuboresha utendaji wake uwe mzuri zaidi wananchi wakimkubali anafanya kazi vyema hakuna wakuchukua Jimbo hilo ila kama utendaji unamapungufu itakua changamoto.

Watu wameshaona kunasehemu pamelega ndio maana wanalitaka Jimbo na mwenye Jimbo anapata mashaka.

Kila la heri wagombea wote wenye Nia ya kuwatoa wabunge wazembe katika majimbo yote.
Alikuwa mchapakazi alipokuwa na njaa Homera wa Tunduru si huyu wa Mbeya kabadilika hata sura, sura ni ya neema ni ya mwenye pesa mtu aliyeshiba, amejifunza uadilifu haulipi na mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
 
HARAKATI CHAFU ZA RC WA MBEYA JUMA HOMERA KTK JIMBO LA NAMTUMBO ZINAHARIBU KAZI NZURI INAYO FANYWA NA RAIS SAMIA KTK UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM.

Hivi sasa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera hakai kituo chake cha kazi Mbeya badala yake yupo kila mwezi anakwenda Ruvuma kufanya kampeni za Ubunge wake 2025 Jimbo la Namtumbo.

Hivi sasa yuko Songea Mjini na kazi yake kubwa kukipasua Chama cha Mapinduzi na Serikali ya Wilaya ya Namtumbo akiwa baraka za RC wa Mkoa wa Ruvuma.

JUMA Homera ana nia ya kugombea ubunge jimbo la Namtumbo kwa ticket ya CCM 2025 tatizo njia anazotumia sio njia sahihi na sio njia salama kwa chama hichonm. Anachofanya anadhani anahangaika na Mbunge wa sasa Vita Kawawa kumbe anakidhohofisha chama kwa kutengeneza makundi ambayo siyo afya kwa chama cha mapinduzi kwa sasa kwani huu ni mwaka wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Amekuwa anawaita Wazee wa wilaya ya Namtumbo kwenda Mjini Songea ambapo ameweka kambi ya kugawa Rushwa kwa wazee hao na makundi mengine mbalimbali ya Wilaya ya Namtumbo kwa lengo la kuungwa mkono huku akiwaaminisha viongozi na watu hao kuwa Serikali haijafanya kitu Namtumbo chini ya Mbunge wa sasa. Hii ni hatari kwa chama kwani muda wa kampeni bado haujafika lkn pia chama kinakataza kutoa na kupokea Rushwa. Juma Homera amekuwa muumini wa kuamini Rushwa ndio ushindi.

Ndugu Homera ameanzisha Kampeni chafu za rushwa jambo ambalo linahatarisha umoja na mshikamano uliopo hivi sasa katika CCM Wilaya ya Namtumbo japo hizo nguvu haonekani kuwa nazo kihivyo lakini hatua chafu za rushwa zinapaswa kukemewa.

Ikumbwe Juma Homera ameanzisha Redio ktk Wilaya ya Namtumbo ambayo inatumika vibaya kwasababu anakiuka misingi na sheria za uanzishwaji wa Redio.hutumia Redio hiyo kufanya kampeni zake jambo ambalo ni kosa kisheria kutumia Redio yako kisiasa TCRA inabidi watupie jicho utendaji wa radio hiyo.

Hivi karibuni wakati wa ziara ya Mwenezi wa CCM Wilaya ya Namtumbo aliandaa vijana kupita kuhoji watu ili kuonyesha Mbunge wa sasa hakubaliki na alitumia site TV kufanya hivyo zoezi hilo halikufanikiwa kwasababu wananchi walichukua akili za kuambiwa wakachanganya na zao wakagoma kutumiwa.haikutosha Juma Homera kupitia Ndugu yake Mwalimu alimtumia kugawa pesa kwa vijana wa bodaboda ili wamzomee Mh Vita pindi Mh Makonda atakapo wasili Namtumbo lkn vijana wakala pesa yake na hawakufanya hivyo. kwa kuwa Mh Makonda alikuwa na taarifa za mpango huo wa Juma Homera alipo simama Namtumbo aliuliza mna tatizo na Mbunge wenu watu wooote wakasema hakunaaaaaa akasema mlindeni Mh Vita. Hivi kuna tija gani katika kumzomea mtu anayefanyakazi na viongozi wa Serikali na Chama Tawala kuchagiza maendeleo na utekelezaji wa Ilani ya CCM? Hizi ni siasa za kitoto zinatakiwa kukemewa.

Hivi sasa RC Homera wa Mbeya yupo Songea mjini anafanya kampeni na anawaita Wajumbe wa Mkutano Mkuu CCM Wilaya na Viongozi wa CCM Wilaya ya Namtumbo na kuwagawia pesa na kufanya nao vikao na wajumbe hao kinyumbe na kanuni na taratibu za chama bahati mbaya kwake wajumbe hao wakitoka wanasema yote waliyoambiwa na mimi ni mmoja wai. tmTunaiomba Takukuru Mkoa na Wilaya kufuatilia vitendo hivi na kumkamata muhusika na kumchukulia hatua kwani ushahidi wa watu walio pokea pesa na kalenda upo na tuko tayari kusema ukweli kukomesha vitenda vya kutuvuruga sisi tunataka maendeleo sio senti ukinunua sukari imekwisha. Cha ajabu eneo linalotumika kufanya vitendo hivyo vya ukiukwaji wa maadili na ushahidi mwingine mwingi wa dhahili na wakimazingira upo.

Amekuwa akieleza wajumbe kuwa katumwa na Mh. Rais kugombea jimbo . Hivi kweli inaingia akilini Mh. Rais kuwatuma wagombea ubunge wakafanye kampeni za kukibomoa chama na kudhalilisha kazi za utekelezaji wa ilani zinazoendelea nchi nzima?

Ktk safari hizo hutumia Gari la RC Mbeya na gari zingine za pale mkoani tunazo namba za gari hizo na majina ya madereva husika ambazo gari hizo zinatumika kwenye harakati zake za kisiasa kinyume na sheria.lkn hii inaonyesha ameshindwa kazi aliyopewa na Mh Rais ya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya badala yake yupo katika harakati za Ubunge ambao muda wake kisheria haujafika hivyo kila mwezi anauacha mkoa anaohudumia kukimbilia kampeni za ubunge.

Hii inaonyesha ameshindwa kazi za mkoa wake sababu yuko kwenye harakati za kutafuta ubunge. Anakutana na wapiga kura na kuwapa pesa. Anatumia wahuni kuharibu kazi za Mbunge wa CCM kuonyesha chama hakijafanya kazi na Serikali yake. Hali ambayo itawagawa wana CCM . Namshauri atulie atumikie cheo alichopewa na Rais kwani ni heshima kubwa amepewa sio lazima mtu mmoja kulazimisha kutumikia vyeo viwili kwa wakati mmoja mkoa na jimbo lazima kimoja kitaumia kama tunavyo dhani Mbeya inaumia.

Uongozi wa chama Wilaya uwe makini na mtu anae eneza chuki zakutaka kuharibu kazi nzuri ya ilani ya chama iliyofanywa na Rais na Mbunge aliopo madarakani kwasasa. Ikemee wahuni kama wanao waza kwa tumbo nasio kichwa kwanini watoe rushwa ? .vyombo vya ulinzi na usalama tupieni jicho jambo hili kwa mtu anae haribu kazi kubwa iliyo fanywa na Serikali ya Rais Samia na chama cha mapinduzi kwakusema Namtumbo hakujafanyika lolote anamchonganisha Rais na wananchi lakini pia kwa kusema hayo anaonyesha RC Ruvuma na viongozi wa Wilaya hawajasimamia utekelezaji?

Yeye kwa akili yake anafikiri anamchonganisha mbunge na wananchi Kumbe utekelezaji wa ilani ni wa serikali ya ccm chini ya Rais Samia kwa kushirikiana na viongozi wa mkoa na Wilaya akiwemo Mbunge na Madiwani.
Aliyekutuma au umejituma Wacha porojo na wewe kagombee kama unataka sio kutuandikia gazeti lisilo na msingi.
 
Amewahi hata kuzungumzia Kero na changamoto za watu wa Namtumbo akiwa bungeni?

Sasa Mbunge unakaa bungeni Jimboni kwako tangu unaingia mpaka unatoka hakuna Jambo lolote la kimaendelea kwa manufaa ya wananchi ulilolifanya kwenye Jimbo lako zaidi ya kupigia kampeni Serekali iwanunulie Ndege wabunge waanze kufanya matanuzi, barabara za Jimbo lako hazitamaniki, hivi unategemea wananchi watakuchekelea?
Ukisema hakuna jambo lolote la Maana ni uongo ila sema labda mumemchoka maana huyo bwana Hilo Jimbo alipewa kama Zawadi tuu.
 
Kila mtu afanye yake. Mkuu wa Mkoa ahangaike na mkoa wake. Nshawasoma Chawa wa Homera, wapo kazini kujibu mashambulizi, kweli unaukimbizia Ubunge!!

Tamaa ya nini Homera, hutosheki?
Kwani kuwa RC kunazuia mtu asigombee Ubunge?

Wewe achia Ubunge utakuwa RC Ili ufanye Yako.

Homera kamatia hapo hapo
 
Kuna mambo mengi yanakwama hapa Mbeya. Wananchi bado wanalalamika na Gharama za Maisha, Sukari haishikiki.

Mtu ambaye angesaidiana na Wakuu wa Wilaya kusimamia haya ni Mkuu wa Mkoa. Ajajbu mkuu wa Mkoa anamaliza hata Wiki mbili yupo Songea na Namtumbo kufanya Ushawishi wa Ubunge ili agombee.

Watu kama hawa wanashindwa kumsaidia rais kila siku Malalamiko. Hakuna anayejali Mwananchi wa Kawaida.

Rais anatakiwa awachunguze wateule wake. Yeye anajua ana mtu Mbeya kumbe ni bure.

Homera achague moja Ubunge au Ukuu wa Mkoa. Sababu anawaumiza Wananchi wa Kawaida. Hizo hela anazogawa huko si atujengee barabara Korofi japo tumkumbuke kwa hilo?

Kila ukienda Ofisini kwake hayupo, Ukiuliza yupo wapi wanasema kaenda Namtumbo Mkoa wa Ruvuma kufanya vikao vya chama.

Kwani Mkoa wa Ruvuma hauna Mkuu wa Mkoa?

Na hii Rais Samia akijua anaweza kupoteza hata huo ukuu wa Mkoa.
Huu ni uzushi baada ya kuona unakaliwa Kooni huko Namtumbo 😂😂
 
HARAKATI CHAFU ZA RC WA MBEYA JUMA HOMERA KTK JIMBO LA NAMTUMBO ZINAHARIBU KAZI NZURI INAYO FANYWA NA RAIS SAMIA KTK UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM.

Hivi sasa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera hakai kituo chake cha kazi Mbeya badala yake yupo kila mwezi anakwenda Ruvuma kufanya kampeni za Ubunge wake 2025 Jimbo la Namtumbo.

Hivi sasa yuko Songea Mjini na kazi yake kubwa kukipasua Chama cha Mapinduzi na Serikali ya Wilaya ya Namtumbo akiwa baraka za RC wa Mkoa wa Ruvuma.

JUMA Homera ana nia ya kugombea ubunge jimbo la Namtumbo kwa ticket ya CCM 2025 tatizo njia anazotumia sio njia sahihi na sio njia salama kwa chama hichonm. Anachofanya anadhani anahangaika na Mbunge wa sasa Vita Kawawa kumbe anakidhohofisha chama kwa kutengeneza makundi ambayo siyo afya kwa chama cha mapinduzi kwa sasa kwani huu ni mwaka wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Amekuwa anawaita Wazee wa wilaya ya Namtumbo kwenda Mjini Songea ambapo ameweka kambi ya kugawa Rushwa kwa wazee hao na makundi mengine mbalimbali ya Wilaya ya Namtumbo kwa lengo la kuungwa mkono huku akiwaaminisha viongozi na watu hao kuwa Serikali haijafanya kitu Namtumbo chini ya Mbunge wa sasa. Hii ni hatari kwa chama kwani muda wa kampeni bado haujafika lkn pia chama kinakataza kutoa na kupokea Rushwa. Juma Homera amekuwa muumini wa kuamini Rushwa ndio ushindi.

Ndugu Homera ameanzisha Kampeni chafu za rushwa jambo ambalo linahatarisha umoja na mshikamano uliopo hivi sasa katika CCM Wilaya ya Namtumbo japo hizo nguvu haonekani kuwa nazo kihivyo lakini hatua chafu za rushwa zinapaswa kukemewa.

Ikumbwe Juma Homera ameanzisha Redio ktk Wilaya ya Namtumbo ambayo inatumika vibaya kwasababu anakiuka misingi na sheria za uanzishwaji wa Redio.hutumia Redio hiyo kufanya kampeni zake jambo ambalo ni kosa kisheria kutumia Redio yako kisiasa TCRA inabidi watupie jicho utendaji wa radio hiyo.

Hivi karibuni wakati wa ziara ya Mwenezi wa CCM Wilaya ya Namtumbo aliandaa vijana kupita kuhoji watu ili kuonyesha Mbunge wa sasa hakubaliki na alitumia site TV kufanya hivyo zoezi hilo halikufanikiwa kwasababu wananchi walichukua akili za kuambiwa wakachanganya na zao wakagoma kutumiwa.haikutosha Juma Homera kupitia Ndugu yake Mwalimu alimtumia kugawa pesa kwa vijana wa bodaboda ili wamzomee Mh Vita pindi Mh Makonda atakapo wasili Namtumbo lkn vijana wakala pesa yake na hawakufanya hivyo. kwa kuwa Mh Makonda alikuwa na taarifa za mpango huo wa Juma Homera alipo simama Namtumbo aliuliza mna tatizo na Mbunge wenu watu wooote wakasema hakunaaaaaa akasema mlindeni Mh Vita. Hivi kuna tija gani katika kumzomea mtu anayefanyakazi na viongozi wa Serikali na Chama Tawala kuchagiza maendeleo na utekelezaji wa Ilani ya CCM? Hizi ni siasa za kitoto zinatakiwa kukemewa.

Hivi sasa RC Homera wa Mbeya yupo Songea mjini anafanya kampeni na anawaita Wajumbe wa Mkutano Mkuu CCM Wilaya na Viongozi wa CCM Wilaya ya Namtumbo na kuwagawia pesa na kufanya nao vikao na wajumbe hao kinyumbe na kanuni na taratibu za chama bahati mbaya kwake wajumbe hao wakitoka wanasema yote waliyoambiwa na mimi ni mmoja wai. tmTunaiomba Takukuru Mkoa na Wilaya kufuatilia vitendo hivi na kumkamata muhusika na kumchukulia hatua kwani ushahidi wa watu walio pokea pesa na kalenda upo na tuko tayari kusema ukweli kukomesha vitenda vya kutuvuruga sisi tunataka maendeleo sio senti ukinunua sukari imekwisha. Cha ajabu eneo linalotumika kufanya vitendo hivyo vya ukiukwaji wa maadili na ushahidi mwingine mwingi wa dhahili na wakimazingira upo.

Amekuwa akieleza wajumbe kuwa katumwa na Mh. Rais kugombea jimbo . Hivi kweli inaingia akilini Mh. Rais kuwatuma wagombea ubunge wakafanye kampeni za kukibomoa chama na kudhalilisha kazi za utekelezaji wa ilani zinazoendelea nchi nzima?

Ktk safari hizo hutumia Gari la RC Mbeya na gari zingine za pale mkoani tunazo namba za gari hizo na majina ya madereva husika ambazo gari hizo zinatumika kwenye harakati zake za kisiasa kinyume na sheria.lkn hii inaonyesha ameshindwa kazi aliyopewa na Mh Rais ya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya badala yake yupo katika harakati za Ubunge ambao muda wake kisheria haujafika hivyo kila mwezi anauacha mkoa anaohudumia kukimbilia kampeni za ubunge.

Hii inaonyesha ameshindwa kazi za mkoa wake sababu yuko kwenye harakati za kutafuta ubunge. Anakutana na wapiga kura na kuwapa pesa. Anatumia wahuni kuharibu kazi za Mbunge wa CCM kuonyesha chama hakijafanya kazi na Serikali yake. Hali ambayo itawagawa wana CCM . Namshauri atulie atumikie cheo alichopewa na Rais kwani ni heshima kubwa amepewa sio lazima mtu mmoja kulazimisha kutumikia vyeo viwili kwa wakati mmoja mkoa na jimbo lazima kimoja kitaumia kama tunavyo dhani Mbeya inaumia.

Uongozi wa chama Wilaya uwe makini na mtu anae eneza chuki zakutaka kuharibu kazi nzuri ya ilani ya chama iliyofanywa na Rais na Mbunge aliopo madarakani kwasasa. Ikemee wahuni kama wanao waza kwa tumbo nasio kichwa kwanini watoe rushwa ? .vyombo vya ulinzi na usalama tupieni jicho jambo hili kwa mtu anae haribu kazi kubwa iliyo fanywa na Serikali ya Rais Samia na chama cha mapinduzi kwakusema Namtumbo hakujafanyika lolote anamchonganisha Rais na wananchi lakini pia kwa kusema hayo anaonyesha RC Ruvuma na viongozi wa Wilaya hawajasimamia utekelezaji?

Yeye kwa akili yake anafikiri anamchonganisha mbunge na wananchi Kumbe utekelezaji wa ilani ni wa serikali ya ccm chini ya Rais Samia kwa kushirikiana na viongozi wa mkoa na Wilaya akiwemo Mbunge na Madiwani.
Wewe unagombea jimbo gani mkuu?
Mbona hujaweka namba ya simu?
 
Tungoje muda ukifika wajumbe ndio wataamua....sasa ni ya wote na kila mtu ana njia zake za kuchukua jimbo
 
HARAKATI CHAFU ZA RC WA MBEYA JUMA HOMERA KTK JIMBO LA NAMTUMBO ZINAHARIBU KAZI NZURI INAYO FANYWA NA RAIS SAMIA KTK UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM.

Hivi sasa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera hakai kituo chake cha kazi Mbeya badala yake yupo kila mwezi anakwenda Ruvuma kufanya kampeni za Ubunge wake 2025 Jimbo la Namtumbo.

Hivi sasa yuko Songea Mjini na kazi yake kubwa kukipasua Chama cha Mapinduzi na Serikali ya Wilaya ya Namtumbo akiwa baraka za RC wa Mkoa wa Ruvuma.

JUMA Homera ana nia ya kugombea ubunge jimbo la Namtumbo kwa ticket ya CCM 2025 tatizo njia anazotumia sio njia sahihi na sio njia salama kwa chama hichonm. Anachofanya anadhani anahangaika na Mbunge wa sasa Vita Kawawa kumbe anakidhohofisha chama kwa kutengeneza makundi ambayo siyo afya kwa chama cha mapinduzi kwa sasa kwani huu ni mwaka wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Amekuwa anawaita Wazee wa wilaya ya Namtumbo kwenda Mjini Songea ambapo ameweka kambi ya kugawa Rushwa kwa wazee hao na makundi mengine mbalimbali ya Wilaya ya Namtumbo kwa lengo la kuungwa mkono huku akiwaaminisha viongozi na watu hao kuwa Serikali haijafanya kitu Namtumbo chini ya Mbunge wa sasa. Hii ni hatari kwa chama kwani muda wa kampeni bado haujafika lkn pia chama kinakataza kutoa na kupokea Rushwa. Juma Homera amekuwa muumini wa kuamini Rushwa ndio ushindi.

Ndugu Homera ameanzisha Kampeni chafu za rushwa jambo ambalo linahatarisha umoja na mshikamano uliopo hivi sasa katika CCM Wilaya ya Namtumbo japo hizo nguvu haonekani kuwa nazo kihivyo lakini hatua chafu za rushwa zinapaswa kukemewa.

Ikumbwe Juma Homera ameanzisha Redio ktk Wilaya ya Namtumbo ambayo inatumika vibaya kwasababu anakiuka misingi na sheria za uanzishwaji wa Redio.hutumia Redio hiyo kufanya kampeni zake jambo ambalo ni kosa kisheria kutumia Redio yako kisiasa TCRA inabidi watupie jicho utendaji wa radio hiyo.

Hivi karibuni wakati wa ziara ya Mwenezi wa CCM Wilaya ya Namtumbo aliandaa vijana kupita kuhoji watu ili kuonyesha Mbunge wa sasa hakubaliki na alitumia site TV kufanya hivyo zoezi hilo halikufanikiwa kwasababu wananchi walichukua akili za kuambiwa wakachanganya na zao wakagoma kutumiwa.haikutosha Juma Homera kupitia Ndugu yake Mwalimu alimtumia kugawa pesa kwa vijana wa bodaboda ili wamzomee Mh Vita pindi Mh Makonda atakapo wasili Namtumbo lkn vijana wakala pesa yake na hawakufanya hivyo. kwa kuwa Mh Makonda alikuwa na taarifa za mpango huo wa Juma Homera alipo simama Namtumbo aliuliza mna tatizo na Mbunge wenu watu wooote wakasema hakunaaaaaa akasema mlindeni Mh Vita. Hivi kuna tija gani katika kumzomea mtu anayefanyakazi na viongozi wa Serikali na Chama Tawala kuchagiza maendeleo na utekelezaji wa Ilani ya CCM? Hizi ni siasa za kitoto zinatakiwa kukemewa.

Hivi sasa RC Homera wa Mbeya yupo Songea mjini anafanya kampeni na anawaita Wajumbe wa Mkutano Mkuu CCM Wilaya na Viongozi wa CCM Wilaya ya Namtumbo na kuwagawia pesa na kufanya nao vikao na wajumbe hao kinyumbe na kanuni na taratibu za chama bahati mbaya kwake wajumbe hao wakitoka wanasema yote waliyoambiwa na mimi ni mmoja wai. tmTunaiomba Takukuru Mkoa na Wilaya kufuatilia vitendo hivi na kumkamata muhusika na kumchukulia hatua kwani ushahidi wa watu walio pokea pesa na kalenda upo na tuko tayari kusema ukweli kukomesha vitenda vya kutuvuruga sisi tunataka maendeleo sio senti ukinunua sukari imekwisha. Cha ajabu eneo linalotumika kufanya vitendo hivyo vya ukiukwaji wa maadili na ushahidi mwingine mwingi wa dhahili na wakimazingira upo.

Amekuwa akieleza wajumbe kuwa katumwa na Mh. Rais kugombea jimbo . Hivi kweli inaingia akilini Mh. Rais kuwatuma wagombea ubunge wakafanye kampeni za kukibomoa chama na kudhalilisha kazi za utekelezaji wa ilani zinazoendelea nchi nzima?

Ktk safari hizo hutumia Gari la RC Mbeya na gari zingine za pale mkoani tunazo namba za gari hizo na majina ya madereva husika ambazo gari hizo zinatumika kwenye harakati zake za kisiasa kinyume na sheria.lkn hii inaonyesha ameshindwa kazi aliyopewa na Mh Rais ya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya badala yake yupo katika harakati za Ubunge ambao muda wake kisheria haujafika hivyo kila mwezi anauacha mkoa anaohudumia kukimbilia kampeni za ubunge.

Hii inaonyesha ameshindwa kazi za mkoa wake sababu yuko kwenye harakati za kutafuta ubunge. Anakutana na wapiga kura na kuwapa pesa. Anatumia wahuni kuharibu kazi za Mbunge wa CCM kuonyesha chama hakijafanya kazi na Serikali yake. Hali ambayo itawagawa wana CCM . Namshauri atulie atumikie cheo alichopewa na Rais kwani ni heshima kubwa amepewa sio lazima mtu mmoja kulazimisha kutumikia vyeo viwili kwa wakati mmoja mkoa na jimbo lazima kimoja kitaumia kama tunavyo dhani Mbeya inaumia.

Uongozi wa chama Wilaya uwe makini na mtu anae eneza chuki zakutaka kuharibu kazi nzuri ya ilani ya chama iliyofanywa na Rais na Mbunge aliopo madarakani kwasasa. Ikemee wahuni kama wanao waza kwa tumbo nasio kichwa kwanini watoe rushwa ? .vyombo vya ulinzi na usalama tupieni jicho jambo hili kwa mtu anae haribu kazi kubwa iliyo fanywa na Serikali ya Rais Samia na chama cha mapinduzi kwakusema Namtumbo hakujafanyika lolote anamchonganisha Rais na wananchi lakini pia kwa kusema hayo anaonyesha RC Ruvuma na viongozi wa Wilaya hawajasimamia utekelezaji?

Yeye kwa akili yake anafikiri anamchonganisha mbunge na wananchi Kumbe utekelezaji wa ilani ni wa serikali ya ccm chini ya Rais Samia kwa kushirikiana na viongozi wa mkoa na Wilaya akiwemo Mbunge na Madiwani.
Junguuuzzzz!
 
HARAKATI CHAFU ZA RC WA MBEYA JUMA HOMERA KTK JIMBO LA NAMTUMBO ZINAHARIBU KAZI NZURI INAYO FANYWA NA RAIS SAMIA KTK UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM.

Hivi sasa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera hakai kituo chake cha kazi Mbeya badala yake yupo kila mwezi anakwenda Ruvuma kufanya kampeni za Ubunge wake 2025 Jimbo la Namtumbo.

Hivi sasa yuko Songea Mjini na kazi yake kubwa kukipasua Chama cha Mapinduzi na Serikali ya Wilaya ya Namtumbo akiwa baraka za RC wa Mkoa wa Ruvuma.

JUMA Homera ana nia ya kugombea ubunge jimbo la Namtumbo kwa ticket ya CCM 2025 tatizo njia anazotumia sio njia sahihi na sio njia salama kwa chama hichonm. Anachofanya anadhani anahangaika na Mbunge wa sasa Vita Kawawa kumbe anakidhohofisha chama kwa kutengeneza makundi ambayo siyo afya kwa chama cha mapinduzi kwa sasa kwani huu ni mwaka wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Amekuwa anawaita Wazee wa wilaya ya Namtumbo kwenda Mjini Songea ambapo ameweka kambi ya kugawa Rushwa kwa wazee hao na makundi mengine mbalimbali ya Wilaya ya Namtumbo kwa lengo la kuungwa mkono huku akiwaaminisha viongozi na watu hao kuwa Serikali haijafanya kitu Namtumbo chini ya Mbunge wa sasa. Hii ni hatari kwa chama kwani muda wa kampeni bado haujafika lkn pia chama kinakataza kutoa na kupokea Rushwa. Juma Homera amekuwa muumini wa kuamini Rushwa ndio ushindi.

Ndugu Homera ameanzisha Kampeni chafu za rushwa jambo ambalo linahatarisha umoja na mshikamano uliopo hivi sasa katika CCM Wilaya ya Namtumbo japo hizo nguvu haonekani kuwa nazo kihivyo lakini hatua chafu za rushwa zinapaswa kukemewa.

Ikumbwe Juma Homera ameanzisha Redio ktk Wilaya ya Namtumbo ambayo inatumika vibaya kwasababu anakiuka misingi na sheria za uanzishwaji wa Redio.hutumia Redio hiyo kufanya kampeni zake jambo ambalo ni kosa kisheria kutumia Redio yako kisiasa TCRA inabidi watupie jicho utendaji wa radio hiyo.

Hivi karibuni wakati wa ziara ya Mwenezi wa CCM Wilaya ya Namtumbo aliandaa vijana kupita kuhoji watu ili kuonyesha Mbunge wa sasa hakubaliki na alitumia site TV kufanya hivyo zoezi hilo halikufanikiwa kwasababu wananchi walichukua akili za kuambiwa wakachanganya na zao wakagoma kutumiwa.haikutosha Juma Homera kupitia Ndugu yake Mwalimu alimtumia kugawa pesa kwa vijana wa bodaboda ili wamzomee Mh Vita pindi Mh Makonda atakapo wasili Namtumbo lkn vijana wakala pesa yake na hawakufanya hivyo. kwa kuwa Mh Makonda alikuwa na taarifa za mpango huo wa Juma Homera alipo simama Namtumbo aliuliza mna tatizo na Mbunge wenu watu wooote wakasema hakunaaaaaa akasema mlindeni Mh Vita. Hivi kuna tija gani katika kumzomea mtu anayefanyakazi na viongozi wa Serikali na Chama Tawala kuchagiza maendeleo na utekelezaji wa Ilani ya CCM? Hizi ni siasa za kitoto zinatakiwa kukemewa.

Hivi sasa RC Homera wa Mbeya yupo Songea mjini anafanya kampeni na anawaita Wajumbe wa Mkutano Mkuu CCM Wilaya na Viongozi wa CCM Wilaya ya Namtumbo na kuwagawia pesa na kufanya nao vikao na wajumbe hao kinyumbe na kanuni na taratibu za chama bahati mbaya kwake wajumbe hao wakitoka wanasema yote waliyoambiwa na mimi ni mmoja wai. tmTunaiomba Takukuru Mkoa na Wilaya kufuatilia vitendo hivi na kumkamata muhusika na kumchukulia hatua kwani ushahidi wa watu walio pokea pesa na kalenda upo na tuko tayari kusema ukweli kukomesha vitenda vya kutuvuruga sisi tunataka maendeleo sio senti ukinunua sukari imekwisha. Cha ajabu eneo linalotumika kufanya vitendo hivyo vya ukiukwaji wa maadili na ushahidi mwingine mwingi wa dhahili na wakimazingira upo.

Amekuwa akieleza wajumbe kuwa katumwa na Mh. Rais kugombea jimbo . Hivi kweli inaingia akilini Mh. Rais kuwatuma wagombea ubunge wakafanye kampeni za kukibomoa chama na kudhalilisha kazi za utekelezaji wa ilani zinazoendelea nchi nzima?

Ktk safari hizo hutumia Gari la RC Mbeya na gari zingine za pale mkoani tunazo namba za gari hizo na majina ya madereva husika ambazo gari hizo zinatumika kwenye harakati zake za kisiasa kinyume na sheria.lkn hii inaonyesha ameshindwa kazi aliyopewa na Mh Rais ya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya badala yake yupo katika harakati za Ubunge ambao muda wake kisheria haujafika hivyo kila mwezi anauacha mkoa anaohudumia kukimbilia kampeni za ubunge.

Hii inaonyesha ameshindwa kazi za mkoa wake sababu yuko kwenye harakati za kutafuta ubunge. Anakutana na wapiga kura na kuwapa pesa. Anatumia wahuni kuharibu kazi za Mbunge wa CCM kuonyesha chama hakijafanya kazi na Serikali yake. Hali ambayo itawagawa wana CCM . Namshauri atulie atumikie cheo alichopewa na Rais kwani ni heshima kubwa amepewa sio lazima mtu mmoja kulazimisha kutumikia vyeo viwili kwa wakati mmoja mkoa na jimbo lazima kimoja kitaumia kama tunavyo dhani Mbeya inaumia.

Uongozi wa chama Wilaya uwe makini na mtu anae eneza chuki zakutaka kuharibu kazi nzuri ya ilani ya chama iliyofanywa na Rais na Mbunge aliopo madarakani kwasasa. Ikemee wahuni kama wanao waza kwa tumbo nasio kichwa kwanini watoe rushwa ? .vyombo vya ulinzi na usalama tupieni jicho jambo hili kwa mtu anae haribu kazi kubwa iliyo fanywa na Serikali ya Rais Samia na chama cha mapinduzi kwakusema Namtumbo hakujafanyika lolote anamchonganisha Rais na wananchi lakini pia kwa kusema hayo anaonyesha RC Ruvuma na viongozi wa Wilaya hawajasimamia utekelezaji?

Yeye kwa akili yake anafikiri anamchonganisha mbunge na wananchi Kumbe utekelezaji wa ilani ni wa serikali ya ccm chini ya Rais Samia kwa kushirikiana na viongozi wa mkoa na Wilaya akiwemo Mbunge na Madiwani.
Mtatafunana na kulana mpaka kieleweke
 
Kuna mambo mengi yanakwama hapa Mbeya. Wananchi bado wanalalamika na Gharama za Maisha, Sukari haishikiki.

Mtu ambaye angesaidiana na Wakuu wa Wilaya kusimamia haya ni Mkuu wa Mkoa. Ajajbu mkuu wa Mkoa anamaliza hata Wiki mbili yupo Songea na Namtumbo kufanya Ushawishi wa Ubunge ili agombee.

Watu kama hawa wanashindwa kumsaidia rais kila siku Malalamiko. Hakuna anayejali Mwananchi wa Kawaida.

Rais anatakiwa awachunguze wateule wake. Yeye anajua ana mtu Mbeya kumbe ni bure.

Homera achague moja Ubunge au Ukuu wa Mkoa. Sababu anawaumiza Wananchi wa Kawaida. Hizo hela anazogawa huko si atujengee barabara Korofi japo tumkumbuke kwa hilo?

Kila ukienda Ofisini kwake hayupo, Ukiuliza yupo wapi wanasema kaenda Namtumbo Mkoa wa Ruvuma kufanya vikao vya chama.

Kwani Mkoa wa Ruvuma hauna Mkuu wa Mkoa?

Na hii Rais Samia akijua anaweza kupoteza hata huo ukuu wa Mkoa.
Namtumbo ya wapi unaizungumzia mbona sijasikia ujio wa huyo jamaa,umesimuliwa au umeona mwenyewe?
 
Wananchi wa wilaya ya namtumbo wamekosa Amani ya kurudi kwao Kwa hofu ya kiongozi wao au mbunge wao kuwanyima Amani

1.kiongozi huyo anatunyima Amani watu wazawa wa wilaya hiyo amekuwa akitunyanyasa tunashindwa hata kufanya jambo la kifamilia kwahofu ya huyo mbunge kutuma watu wake na kuleta vurugu.


2.Juma zuberi homera ni mtu wawatu amekuwa na karma ya uongozi na kupedwa na watu kila sehemu tangu alipokuwa tunduru alipoondoka wananchi walimlilia akapelekwa katavi alipoondolewa katavi watu walihuzunika Kwa jinsi alivyoishinao kwawema akapelekwa mbeya napo anaongoza vyema kiufupi juma homera ni mtu wawatu.

3 kiongozi huyu kwao alikozaliwa ni wilaya ya namtumbo mwaka Jana alikwenda Kwa namtumbo na kuamua kufunga kituo Cha redio kinaitwa site fm 88.1 kwaajili ya biashara yake binafsi wananchi wa namtumbo walionyesha kufurahishwa sana na kitendo kile lakini mh mbunge wetu alichukia sana kitendo kile na kutengeneza makundi ya watu kubeza jambo Hilo vipi nimekosa mtu kufungua biashara yake nyumbani

4 juma kama kawaida yake kila mwaka mwezi mtukufu wa ramadhani huja nyumbani kutengeneza futuru ili kujumuika na wazazi ndg jamaa na marafiki kula pamoja mbunge huyo alituma vijana wake kuleta vurugu kwenye eneo lile vp nimekosa mtu kwenda kufuturisha nyumbani?

5 mbunge wetu huyo amekuwa akimfatilia juma homera kiasi kwamba hata akija likizo akiwa na gari yake kwenda nyumbani kusalimia akisikia au kumuona amekuwa akituma vijana kupeleleza mpaka nyumbani kwako jamani nimakosa mtu kurudi likizo nyumbani kufurahi na ndg jamaa na marafiki?

6 mh Juma homera amekwenda nyumbani amefanya sherehe ya send of kwaajili ya kumuaga bint yake kwenda kufunga pingu za maisha mbunge huyo alileta vijana wake kuja kuleta fujo pale ukumbini walipambana na walinzi wakakimbia vp nimakosa mtu kuozesha bint yake

Imekuwa hatuna Amani hata ya kwenda nyumbani kufanya kitu Cha kijamii Kwa hofu ya mbunge huyo
Musa chowo anafanya kazi tanesco alikwenda nyumbani kutengeneza ubani kwaajili ya kukumbuka ndg jamaa na marafiki mbunge huyo alituma vijana kuleta vurugu nimakosa mtu kutengeneza ubani Kwa ajili ya kumbukumbu ya ndg jamaa na marafiki?

Tunamuomba mbunge wetu wa wilaya ya namtumbo aache kutunyima Amani vijana wazee na wananchi wa namtumbo inafikia mahari mpaka mtu unashindwa kufanya shughuri yeyote ya kifamilia Kwa hofu yake akiona mkusanyiko wowote anawatuma hao vijana kuharibu

Tunachomuomba awe na Amani amedumu kipindi Cha awamu 3 miaka 15 hofu yake nini kwamiaka hiyo aliyodumu nadhani kama Kuna mazuri amewafanyia Wana namtumbo yataonekana na kuendelea kumchagua sio kutunyima Amani tusipike hata ubani tusifanye sherehe yeyote tunaletewa vurugu tunaomba Amani iwe namtumbo
 
Back
Top Bottom