Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars

Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars

tiketi za 200000 zimeisha tuangalie walau 30000/= mimi sichangii chochote kwako kwani natakiwa ninunue delivary kit ya shemejio cunajua anajifungua siku mbili tatu zijazo

Unasikia maneno hayo? Watu wana ma obligation kibao muhimu kama hayo, halafu mtu anakuja kukupiga mzinga wa anasa anasa tu.

Lazima umuangalie usoni unamshangaa, bado kidogo umuulize "Wewe hivi una akili kweli?" Usawa huu unataka kuendekeza anasa kwa jasho la mtu?
 
nimeona mara nyingi unapenda mabishano ya kijinga hapa JF,mie hata hunipati kiranga!!jaza mashudu yako ukimaliza tambaa,,,,muda wa kupoteza na wewe hata sinao!

Naomba kuumunga mkono kiranga kwa hoja zake na wala haweki mashudu hapa ila mchele. kwa mtu ambaye una uchungu na nchi yako lazima uone point hapa otherwise utaishia kupiga makofi kama wale wazee wa dsm walivyokuwa wanamuunga mkono mkuu wa kaya wakati kuna kipindi walilala barabarani kwa sababu ya mafao na ni hao hao wanaowategemea watoto wao wawaendeshe kimaisha. Nakumbuka baba alikuwa anafanya kazi bandari EA ilikuwa alipwe kama million kadhaa lakini document zote zipo lkn mpaka sasa hiyo hela haijalipwa pamoja nakufuata taratibu zote mpaka alipokuja fariki. ILA LEO WANA 9000000000/= za kuialika brazil this is really a shame
Utamwelewa Kiranga kama utatembelea mahospitalini na kwenda vijijini na kuona watu wanavyopata shida. Hivi kuna watu walio tayari kushika mabango jamaa watakapowasili nijiunge nao au kuna maandamano yeyote kuupinga huu upuuzi?
ilitakiwa kama kweli we are great thinkers let us start angalau kwa kushika mabango na kuandamana kuelekea kwenye mafanikio kwa kizazi chetu kijacho watatuhukumu kwakweli kama ninavyowalaani wale wazee waliokuwa wanapiga makofi pale diamond jubilee siku ile
 
Common sense is not common.............indeed..........
 
Naomba kuumunga mkono kiranga kwa hoja zake na wala haweki mashudu hapa ila mchele. kwa mtu ambaye una uchungu na nchi yako lazima uone point hapa otherwise utaishia kupiga makofi kama wale wazee wa dsm walivyokuwa wanamuunga mkono mkuu wa kaya wakati kuna kipindi walilala barabarani kwa sababu ya mafao na ni hao hao wanaowategemea watoto wao wawaendeshe kimaisha. Nakumbuka baba alikuwa anafanya kazi bandari EA ilikuwa alipwe kama million kadhaa lakini document zote zipo lkn mpaka sasa hiyo hela haijalipwa pamoja nakufuata taratibu zote mpaka alipokuja fariki. ILA LEO WANA 9000000000/= za kuialika brazil this is really a shame
Utamwelewa Kiranga kama utatembelea mahospitalini na kwenda vijijini na kuona watu wanavyopata shida. Hivi kuna watu walio tayari kushika mabango jamaa watakapowasili nijiunge nao au kuna maandamano yeyote kuupinga huu upuuzi?
ilitakiwa kama kweli we are great thinkers let us start angalau kwa kushika mabango na kuandamana kuelekea kwenye mafanikio kwa kizazi chetu kijacho watatuhukumu kwakweli kama ninavyowalaani wale wazee waliokuwa wanapiga makofi pale diamond jubilee siku ile

Sema wewe, nikisema mimi wanasema Kiranga tu huyo.
 
nimeona mara nyingi unapenda mabishano ya kijinga hapa JF,mie hata hunipati kiranga!!jaza mashudu yako ukimaliza tambaa,,,,muda wa kupoteza na wewe hata sinao!

Kati yangu mimi ninayerepresent fiscal responsibility, watu kuishi ndani ya uwezo wao, kutowatwika wenzetu gharama zisizo na msingi, kuweka priorities nzuri katika maisha, kutoendekeza anasa hasa zile tusizoweza kuzimudu na mambo kama hayo.

Na wewe unayetetea upupu huu uliojaa ujinga na ubinafsi.

Nani analeta pumba hapa?

Unasema sikupati wakati ushachangia mada? Huoni kwamba kwa kuchangia mada tu nishakupata? Anayeweza kusema simpati ni yule tu ambaye hajachangia na hatachangia, ukisharespond kwa posts zangu maana yake si tu nimekupata kwa sababu umesoma, bali nimekupata vizuri sana mpaka nikakuchoma moyoni, ukaweka mikono kwenye keyboard ukaandika yaliyokujaa moyoni.

Unataka nikupate mara ngapi ili uone nimekupata.

Unaona jinsi watu walivyo wazembe hata kufikiri?
 
natamani pedeshee mmoja atokee,ampe dada charity hio ticket na mazawadi mengine ya ziada...baasi tu kulikomesha hilo likiranga!:angry:
 
nimeipenda san hii TOPIC kwa sababu:
1.Charity ameonyesha jinsi ndani ya jamii yetu tulivyokuwa na matatizo ya kujitakia(ameonyesha tu, haina maana ni yeye).mtu yuko radhi apite kuchangisha hela ili akafanye anasa asizoweza kumudu,ndio maana mtu anataka achangiwe afanye harusi ya mamilioni lakini harusi ikiisha hajui atakula nini kesho.
2.Kiranga ameonesha how to deal with those kind of people...hakuna kuwaendekeza,lazima waambiwe ukweli kama Kiranga anavyokuwa wazi na kueleza msimamo wake juu ya kuchangia anasa ambazo mtu hawezi kuzimudu.

na nakuhakikishia hii mechi ya brazil kuna watu wataiba makazini,watazidisha rushwa,wakabaji watafanyakazi yao usiku na mchana,wengine ndio hao watachangisha ukoo mzima, ili mradi waende kuangalia brazil ingawa hawana uwezo.
 
natamani pedeshee mmoja atokee,ampe dada charity hio ticket na mazawadi mengine ya ziada...baasi tu kulikomesha hilo likiranga!:angry:

Acha kuwa bongolala, mimi nina represent first principles hapa.Na nimeeleza jinsi gani kumpa huyu dada msaada ni sawa na kumpa sumu.

First principles kamwe huwa hazikomolewi, unless unataka kutuletea paradigm shift ambayo haikujulikana duniani kabla.

Ni kwa sababu huwezi kuona mbali zaidi ya urefu wa pua yako ndiyo maana unaweza kuona eti kumpa huyu dada msaada kutanikomesha mimi, utanikomesha vipi? Kwanza mimi sina choyo wala kijicho kusema mtu fulani akipata nitaumia, halafu sitetemeki kwa vitu frivolous kama kwenda kuangalia Brazil, nikitaka naweza kuingia hapo South nikaone mechi za kweli, sio haya mazoezi.

Kwa hiyo sahau kama unaweza kunikomesha, sana sana mtamchuza huyo mwenzenu tu.

Na dada zetu wengine mmezoea vya dezo, hayo hayo ma pedejee mnayoyatamani na yenyewe yana ma obligation majumbani mwao, kesho keshokutwa mtakutwa na wake za wenzenu mtakuja kutoana ngeu bure.

Msipende sana vya dezo, bure gharama, mpedejee mengine yana ukware yatataka michezo mpaka iliyo kinyume na maumbile.

Kama mnapenda kuomba omba jasho la mtu haliliwi, mtaweza kubiduka misarakazi au mnapenda kula vya watu tu lakini wakitaka kuwala mnajifanya "nilifikiri umenipa kwa nia nzuri tu".

Najua mtasema si kila mtu yuko hivyo, lakini kwa style hii ya uomba omba hata wale ambao hawako hivyo mtawa force wawe hivyo.
 
nimeipenda san hii TOPIC kwa sababu:
1.Charity ameonyesha jinsi ndani ya jamii yetu tulivyokuwa na matatizo ya kujitakia(ameonyesha tu, haina maana ni yeye).mtu yuko radhi apite kuchangisha hela ili akafanye anasa asizoweza kumudu,ndio maana mtu anataka achangiwe afanye harusi ya mamilioni lakini harusi ikiisha hajui atakula nini kesho.
2.Kiranga ameonesha how to deal with those kind of people...hakuna kuwaendekeza,lazima waambiwe ukweli kama Kiranga anavyokuwa wazi na kueleza msimamo wake juu ya kuchangia anasa ambazo mtu hawezi kuzimudu.

na nakuhakikishia hii mechi ya brazil kuna watu wataiba makazini,watazidisha rushwa,wakabaji watafanyakazi yao usiku na mchana,wengine ndio hao watachangisha ukoo mzima, ili mradi waende kuangalia brazil ingawa hawana uwezo.

Right on point my dude, right on point. Concisely succinct.

I am not even gonna spoil your elegant, eloquent and enlightening elucidation of this elementary albatross with any further elaboration.
 
Acha kuwa bongolala, mimi nina represent principles hapa.Na nimeeleza jinsi gani kumpa huyu dada msaada ni sawa na kumpa sumu.

Ni kwa sababu huwezi kuona mbali zaidi ya urefu wa pua yako ndiyo maana unaweza kuona eti kumpa huyu dada msaada kutanikomesha mimi, utanikomesha vipi? Kwanza mimi sina choyo wala kijicho kusema mtu fulani akipata nitaumia, halafu sitetemeki kwa vitu frivolous kama kwenda kuangalia Brazil, nikitaka naweza kuingia hapo South nikaone mechi za kweli, sio haya mazoezi.

Kwa hiyo sahau kama unaweza kunikomesha, sana sana mtamchuza huyo mwenzenu tu.

Na dada zetu wengine mmezoea vya dezo, hayo hayo ma pedejee mnayoyatamani na yenyewe yana ma obligation majumbani mwao, kesho keshokutwa mtakutwa na wake za wenzenu mtakuja kutoana ngeu bure.

Msipende sana vya dezo, bure gharama, mpedejee mengine yana ukware yatataka michezo mpaka iliyo kinyume na maumbile.

Kama mnapenda kuomba omba jasho la mtu haliliwi, mtaweza kubiduka misarakazi au mnapenda kula vya watu tu lakini wakitaka kuwala mnajifanya "nilifikiri umenipa kwa nia nzuri tu".

Najua mtasema si kila mtu yuko hivyo, lakini kwa style hii ya uomba omba hata wale ambao hawako hivyo mtawa force wawe hivyo.

babu we kuna watu wanazo in excess na kuna ambao hawana,hili likiranga lilivyo selfish linaona starehe iwe kwa walionazo tu!hovyo sana...
ni hivi waache wenye nazo na hawamind kushare kile walichonacho wafanye wanavyopenda! wewe kama unazo na hutaki kutoa kwa wasio nacho then kimpango wako!....dada charity is nobody compare to 60,000 people ambao wako expected to turn up kwenye hio match!......hata usipompa ticket akawa mmoja wao,still kuna significant amount of people will turn up...huoni kama UNALEKEZA MAGUVU YAKO MAHALI SIPO?!!!

dada charity pia hajasababisha uhaba wa madawati na ukosefu wa vitanda mahospitalini....MAHASIRA YENU pelekeni huko huko mlikoyatoa wacheni kumfanya scape goat....

afu wee kiranga kama wewe ni smart sana mbona hausikiki kny vitabu kama akina galileo na isack newton???this topic was meant to be a joke...kama hukuona hilo una walakini....and dont drag us into your shit hole of madness!:angry:
 
babu we kuna watu wanazo in excess na kuna ambao hawana,hili likiranga lilivyo selfish linaona starehe iwe kwa walionazo tu!hovyo sana...
ni hivi waache wenye nazo na hawamind kushare kile walichonacho wafanye wanavyopenda! wewe kama unazo na hutaki kutoa kwa wasio nacho then kimpango wako!....dada charity is nobody compare to 60,000 people ambao wako expected to turn up kwenye hio match!......hata usipompa ticket akawa mmoja wao,still kuna significant amount of people will turn up...huoni kama UNALEKEZA MAGUVU YAKO MAHALI SIPO?!!!

dada charity pia hajasababisha uhaba wa madawati na ukosefu wa vitanda mahospitalini....MAHASIRA YENU pelekeni huko huko mlikoyatoa wacheni kumfanya scape goat....

afu wee kiranga kama wewe ni smart sana mbona hausikiki kny vitabu kama akina galileo na isack newton???this topic was meant to be a joke...kama hukuona hilo una walakini....and dont drag us into your shit hole of madness!:angry:

Wewe ni mgumu sana wa kuelewa.

Ni hivi, mimi sina tatizo na wenye nazo kutumia wanavyotaka. Naamini katika uhuru wa matumizi.

Nisichotaka ni pale wasio nazo nao wajidai kutaka kuishi maisha ya kifahari kama wanazo. Sitaki tamaa ya watu kutaka kuishi maisha wasiyoyamudu, kesho keshokutwa watakuja kuweka rehani mpaka pete za ndoa ili kwenda kuendekeza anasa za mpito. Watakula ada za watoto ili kuendekeza anasa za mpito. Watatumia kodi ya nyumba kuendekeza anasa za mpito. Wataiba kazini kama alivyosema mkuu mbebabox hapo juu, ili kuendekeza anasa za mpito.

Heck, watasaliti hata unyumba ili kuendekeza anasa za mpito, what is to stop them from getting the next high?

Tatizo si ku share, mbona ku share tuna share sana, kutoa tunatoa sana tu, fuatilia post zangu nyuma uone.

Tatizo unatoa kwa kitu gani? Si kila kutoa kuzuri.Teja la madawa ya kulevya likija kukuomba ili lijidunge utatoa? Kwa sababu kutoa ni vizuri?

Una finance habit ambayo ni mbaya kama drug addiction kama utampa huyu Charity pesa ili aende kuangalia mpira, mpira wa gharama za ajabu kwa mtu asiye na hela, mpira ambao ukiuangalia sana unalitia taifa hasara tu.

Mimi naongelea principles zinazosimama kama first principles, you don't get something out of nothing.Usijaribu kabisa maisha haya kujifanya unajua kudandia migongoni mwa watu, utakuta umedandiwa wewe.

Ukimtetea sana naweza kupata fikra kwamba vinakuuma kwa sababu na wewe ni wale wale wa kutegeshea na kusubiria vibopa vijipigepige, maisha ya unyonge na utegemezi yataisha lini haya?

Ndiyo nyie kinamama mnaodai usawa na wanaume? WaBeijing nyie? Anything you can do I can do better nyie/

Usawa mtaupata kwa kuwa tegemezi kama hivi? Hivi mtu ombaomba anaweza kujisikia na yeye akasema na mimi nina sauti mbele ya wafadhili wake?

Kati yangu mie ninaetaka kumpa huyu dada tough love ili ayaweke mambo yake sawa na hatimaye maisha yake yamwendee sawa in the long term, na nyie mnaotaka kumpa sumu ili awaone mnampenda nani selfish?

Kati yangu ninayemwambia ukweli utakaokuja kumuepusha na mabalaa kedekede, hasa kwa sababu hamna cha bure dunia hii na mwanamke ombaomba anajirahisisha na ni rahisi sana kupata mabalaa ya wanaume wakware, na nyie mnaomwambia kuomba ni poa tu, nani selfish?

Kati yake yeye Charity anayetaka kuwabebesha gharama zisizo lazima wenzake, ambao tayari tushaona wana michango na majukumu mengine kedekede tena ya muhimu zaidi, na mie ninayesema jamani ni lazima tufikirie kuhusu misaada tunayoomba ili iwe ya tija na tusiwakwaze wenzetu kwa kuomba misaada ya anasa zisizo tija, nani selfish?

Sio unaandika vitu bila kufikiri t, utaja jivua nguo mbele ya kadamnasi na kudhihirisha utupu wako wa fikra.
 
Wewe ni mgumu sana wa kuelewa.

Ni hivi, mimi sina tatizo na wenye nazo kutumia wanavyotaka. Naamini katika uhuru wa matumizi.

Nisichotaka ni pale wasio nazo nao wajidai kutaka kuishi maisha ya kifahari kama wanazo. Sitaki tamaa ya watu kutaka kuishi maisha wasiyoyamudu, kesho keshokutwa watakuja kuweka rehani mpaka pete za ndoa ili kwenda kuendekeza anasa za mpito. Watakula ada za watoto ili kuendekeza anasa za mpito. Watatumia kodi ya nyumba kuendekeza anasa za mpito.

Heck, watasaliti hata unyumba ili kuendekeza anasa za mpito, what is to stop them from getting the next high?

Tatizo si ku share, mbona ku share tuna share sana, kutoa tunatoa sana tu, fuatilia post zangu nyuma uone.

Tatizo unatoa kwa kitu gani? Si kila kutoa kuzuri.Teja la madawa ya kulevya likija kukuomba ili lijidunge utatoa? Kwa sababu kutoa ni vizuri?

Una finance habit ambayo ni mbaya kama drug addiction kama utampa huyu Charity pesa ili aende kuangalia mpira, mpira wa gharama za ajabu kwa mtu asiye na hela, mpira ambao ukiuangalia sana unalitia taifa hasara tu.

Mimi naongelea principles zinazosimama kama first principles, you don't get something out of nothing.Usijaribu kabisa maisha haya kujifanya unajua kudandia migongoni mwa watu, utakuta umedandiwa wewe.

Ukimtetea sana naweza kupata fikra kwamba vinakuuma kwa sababu na wewe ni wale wale wa kutegeshea na kusubiria vibopa vijipigepige, maisha ya unyonge na utegemezi yataisha lini haya?

Ndiyo nyie kinamama mnaodai usawa na wanaume? WaBeijing nyie? Anything you can do I can do better nyie/

Usawa mtaupata kwa kuwa tegemezi kama hivi? Hivi mtu ombaomba anaweza kujisikia na yeye akasema na mimi nina sauti mbele ya wafadhili wake?

Kati yangu mie ninaetaka kumpa huyu dada tough love ili ayaweke mambo yake sawa na hatimaye maisha yake yamwendee sawa in the long term, na nyie mnaotaka kumpa sumu ili awaone mnampenda nani selfish?

Kati yangu ninayemwambia ukweli utakaokuja kumuepusha na mabalaa kedekede, hasa kwa sababu hamna cha bure dunia hii na mwanamke ombaomba anajirahisisha na ni rahisi sana kupata mabalaa ya wanaume wakware, na nyie mnaomwambia kuomba ni poa tu, nani selfish?

Kati yake yeye Charity anayetaka kuwabebesha gharama zisizo lazima wenzake, ambao tayari tushaona wana michango na majukumu mengine kedekede tena ya muhimu zaidi, na mie ninayesema jamani ni lazima tufikirie kuhusu misaada tunayoomba ili iwe ya tija na tusiwakwaze wenzetu kwa kuomba misaada ya anasa zisizo tija, nani selfish?

Sio unaandika vitu bila kufikiri t, utaja jivua nguo mbele ya kadamnasi na kudhihirisha utupu wako wa fikra.

IRRELEVANT!!!

baki na mticket wako!
 
Kiranga.......i wish jk angepitia shule ulizopitia wewe....
Honestly.........
 
mabadiliko yanaanza na wewe Jamani tubadilikeni matumizi yasiyokuwa na tija nimabaya. Ishi kulingana na uwezo wako na usiishi kwa kumuangalia mtu fulani kama uwezo wako ni kula bamia kula bamia na sio kukopa ili ule nyama halafu unabaki na deni ambalo litakufanya kila siku ulipe na ushindwe kununua hata hilo bamia. Michango mingine isokuwa na tija tuiacha hivi nitoe mtazamo kama harusi mnachanga 10000000/= kwa ajili ya harusi theni mkaandaa sherehe ndogo ya kuwapongeza maharusi ya 2000000/= then mkawapa hiyo 80% 8000000/= kama mtaji wa kuanzia maisha tutakuwa tumesaidia. 1. mtoto wa jirani kakosa ada tukapiga harambe kuchanga hela ya kulipa ada huo ni msaada mzuri. 2. Kuna mgonjwa anaumwa kunatakiwa hela ya matibabu ikapigwa harambee familia ikaombaa hapa ukitoa utrakuwa unasaidia
3.Lakini eti utoe hela uende kunywa chui bar then unarudi nyumbani unaomba hela ya unga kwa ajili ya familia yako hapa patakuwa hapajakaa vizuri na ndio kiranga anachokemea hana ugomvi na mtu mbooooona hatuelewi lakini kwanini hatuelewi kwanininininini jamani hatuelewaniii
 
IRRELEVANT!!!

baki na mticket wako!

Irrelevant wapi, kwa mujibu gani, kwa ushahidi gani, kwa sababu gani?

Unaona ulivyo mzembe hata wa kufikiri? Mtu akikupa facts, unakuja na one liner 'irrelevant" kwa sababu umeshindwa kuchambua mada.

Halafu hata comprehension level zero, wapi nimesema nina ticket mpaka uniambie "baki na mticket wako"?

With citizens like these, no wonder Tanzania is still poor.

Watu wana mentality ya kufanyiwa tu, hawataki kufanya kazi wao. Wewe ukitaka kusaidiwa hata kiingilio cha mechi ya mpira utakuwa na uwezo wa kusaidia wenzako lini? Au ndio ubinafsi wenyewe huo, unataka usaidiwe wewe tu, hujali mwingine.

Matokeo yake watu watafanya mambo ya aibu bure.
 
Irrelevant wapi, kwa mujibu gani, kwa ushahidi gani, kwa sababu gani?

Unaona ulivyo mzembe hata wa kufikiri? Mtu akikupa facts, unakuja na one liner 'irrelevant" kwa sababu umeshindwa kuchambua mada.

Halafu hata comprehension level zero, wapi nimesema nina ticket mpaka uniambie "baki na mticket wako"?

With citizens like these, no wonder Tanzania is still poor.

Watu wana mentality ya kufanyiwa tu, hawataki kufanya kazi wao. Wewe ukitaka kusaidiwa hata kiingilio cha mechi ya mpira utakuwa na uwezo wa kusaidia wenzako lini? Au ndio ubinafsi wenyewe huo, unataka usaidiwe wewe tu, hujali mwingine.

Matokeo yake watu watafanya mambo ya aibu bure.

wacha nibaki na ujinga wangu,huu wa kwako unaambukiza!!!mtu akibishana na wewe ataonekana anaumwa zaidi...

eti facts which facts????umeleta pale juu ubeijing as if wewe ndio mseamaji wao????eti teja la madawa ya kulevya....WHAT EXACTLY DO YOU KNOW ABOUT CHARITY????

charity hajamlazimisha mtu,as you said,UNAAMINI KATIKA UHURU WA MATUMIZI ya MTU NA PESA ZAKE......stay well back!mtu akitaka kufinance TEJA,BWABWA etc...inabaki...HAYAKUHUSU!
 
Tatizo unatoa kwa kitu gani? Si kila kutoa kuzuri.Teja la madawa ya kulevya likija kukuomba ili lijidunge utatoa? Kwa sababu kutoa ni vizuri?..WHAT EXACTLY DO YOU KNOW ABOUT CHARITY????

Kiranga Hapa hakutaja kuwa Charity ni teja
 
basi utakuwa hujamuelewa kiranga toka mwanzo

ila ukiiangalia kwa undani mada hii utakuta wote wanaongelea kitu kimoja lkn kwa mtazamo tofauti
 
wacha nisimuelewe!...mbona yeye hataki kumuelewa dada charity?!!
 
Back
Top Bottom