Harambee Starlets thrash Djibouti 12 - 0

Harambee Starlets thrash Djibouti 12 - 0

Mchezo wa wezi mzingi mbio
Kenya ina points mbili tu!! safari hii hamna mchekee wa timu kuondolewa kwenye kundi kama last time. Mnashikwa matako nyumbani na Togo waliofungwa kwao na Comoro! Nyie bakini na riadha tu, mchezo wa vibaka.
 
Oyaaa!! Ina maana kila mmoja wao alipata fursa ya kwenda kufunga bao, nakumbuka michezo yetu utotoni, kuna kipindi tulifunga mabao hadi kipa wetu akatuomba fursa naye akafunge la kwake, tulimuandalia mashambulizi hadi akafunga bao.

Hongera sana dada zetu, ila huko Dar mkae mbali na haya mafisi ya JF ambayo huja kuisema nchi yetu vibaya......hehehehe
Nilienda kucheki mechi yao pale azam complex,dah mademu wana sura ngumu hao. ..
 
Hata sisi tunaweza
IMG-20191121-WA0009.jpeg
 
Tz tupo nafasi ya pili na point tatu,
Vipi kuhusu nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kunya land ni washamba wa kutupwa wako na point 2 na bado wanamchek mtz mwenye point 3 kweli nimeamini ule msemo

Maskini akipata matako yake ulia mbwataaa..
 
Kweli kunya land ni washamba wa kutupwa wako na point 2 na bado wanamchek mtz mwenye point 3 kweli nimeamini ule msemo

Maskini akipata matako yake ulia mbwataaa..
Mtafungwaje kizembe zembe vile...
Mnafikiria uganda itaendelea kuwabeba km last time, sijui mara hii ni nani ata wakomboa
 
Kweli kunya land ni washamba wa kutupwa wako na point 2 na bado wanamchek mtz mwenye point 3 kweli nimeamini ule msemo

Maskini akipata matako yake ulia mbwataaa..
Tatizo akili fupi waliyonayo 😂😂😂
 
Mtafungwaje kizembe zembe vile...
Mnafikiria uganda itaendelea kuwabeba km last time, sijui mara hii ni nani ata wakomboa
Sio kufungwa kizembe mpira ni game ya makosa
But wewe kwenye mechi mbili ulizocheza umeshindwa kushinda mechi hata 1 then unakuja kubwabwaja zako


Sasa nani mwenya afadhali kati ya mwenye point 3 na mwenye point 2
 
Sio kufungwa kizembe mpira ni game ya makosa
But wewe kwenye mechi mbili ulizocheza umeshindwa kushinda mechi hata 1 then unakuja kubwabwaja zako


Sasa nani mwenya afadhali kati ya mwenye point 3 na mwenye point 2
Kwhyo ni sawa tuseme umegonga papuchi vile vile ukapigwa ndogo halafu unataka kujilanginisha na mpiga punyeto..kamwe hamuwezi kuwa sawa, mwanaume ukishaliwa uroda hufai tena
 
Back
Top Bottom