ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ahsante mkuu kwa kuniwahi.Hivi sisi kambi yetu wapi?
]Hivi sisi kambi yetu wapi?
Wale Fisi na wenyewe watakuwepo?]
sisi itakuwa kambi ya fisi................
[emoji23][emoji23],]
sisi itakuwa kambi ya fisi................
watakuwepo wanaongeza morale kwa wachezaji.....(cheerleaders)Wale Fisi na wenyewe watakuwepo?
Itakuwa vizuri zaidi kama wakiweka kambi PembaHivi sisi kambi yetu wapi?
Hili swali anaweza kulijibu BashiteHivi sisi kambi yetu wapi?
White Sands hotel ... Dar es Salaam. Halafu moja kwa moja Egypt.
Ahsante mkuu kwa kuniwahi.
Hahahaha, ile $ 1m ya bajeti imepatikana?Hivi sisi kambi yetu wapi?
Wakati huo nasikia Senegal imetenga Bilioni 12 Tsh kwenye michuano hiyo.Hahahaha, ile $ 1m ya bajeti imepatikana?
Hahahaha, kwanza muipate hy $ 1m ,muipige kdgWakati huo nasikia Senegal imetenga Bilioni 12 Tsh kwenye michuano hiyo.