ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kuelekea michuano ya Afcon 2019 mwezi ujao jirani zetu timu ya taifa ya kenya Leo asubuhi wameondoka Kenyatta int airport kwenda ufaransa watakapoweka kambi ya Wiki tatu kujiandaa na michuano hiyo
Timu hiyo inatarajia kufungua dimba kwa kucheza dhidi ya Algeria akina Mahrez kabla ya baadae kucheza na Senegal pamoja na jirani zao Tanzania.
Timu hiyo inatarajia kufungua dimba kwa kucheza dhidi ya Algeria akina Mahrez kabla ya baadae kucheza na Senegal pamoja na jirani zao Tanzania.