Mimi napenda sana football napenda kuona mataifa mbalimbali yanapozipa kipaumbele team zao na hata kuzigharamia kwenda mataifa ya nje kujifua ili kujiandaa na AFCON. Nasikitika sioni kabisa amsha amsha kwa team yetu ya Taifa stars. Kwanza hivi zile million kumi kumi zao walishapewa?
Tanzania tunajiandaa vipi kwenda kushiriki AFCON? Naona kina Samatta wanaendelea kuhudhulia iftar tu huku kina Okwi wapo Any dhabi wakijifua.
Tukifungwa Hamsa au Hamsa mbili tutamlaumu wachezaji,kocha. Je tumewapa chances za kujiandaa?.
Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Taifa stars.
Kazi na lengo kuu la Tff ni kuhakikisha Simba anakuwa bingwa. Na kuwamaliza maadui wa simba kama vile Kagera S.Kama kagera ilishuka daraja halafu ikapanda muda huo huo huo unategemea nini kutoka tff taasisi ya kusimamia maendeleo ya mpira Tanzania , ligi ya mwaka huu imekuwa mbovu kuliko ligi zote zahera akisema anashambuliwa. Hawa jamaa wa tff hawana malengo kabisa watasema lengo lao ilikuwa kufuzu misri , sasa hivi wana resti
Hii chuki kwa Mh. Rais itakuisha lini mkuu.Wapo Malawi kwa rafiki yake JIWE....
Huko kwa mabeberu hawawezi kwenda.
Kuna wengine tuna chuki naye hadi tumeshindwa kuiweka hadharani.Hii chuki kwa Mh. Rais itakuisha lini mkuu.
Maana unachuki kupitiliza as if Mkuu amemchukua Mama Jesca kutoka kwako.
Hii chuki kwa Mh. Rais itakuisha lini mkuu.
Maana unachuki kupitiliza as if Mkuu amemchukua Mama Jesca kutoka kwako.
Ubovu wa ligi kuliko miaka yote upo wapi...yanga wasipochukua ubingwa basi ligi inageuka kuwa mbovu...haya mbona hamkuyasema kipindi mnachukua ubingwa mara tatu mfululizo...nyie tulieni dawa iwaingie vizuri hakuna namnaKama kagera ilishuka daraja halafu ikapanda muda huo huo huo unategemea nini kutoka tff taasisi ya kusimamia maendeleo ya mpira Tanzania , ligi ya mwaka huu imekuwa mbovu kuliko ligi zote zahera akisema anashambuliwa. Hawa jamaa wa tff hawana malengo kabisa watasema lengo lao ilikuwa kufuzu misri , sasa hivi wana resti
Mimi napenda sana football napenda kuona mataifa mbalimbali yanapozipa kipaumbele team zao na hata kuzigharamia kwenda mataifa ya nje kujifua ili kujiandaa na AFCON. Nasikitika sioni kabisa amsha amsha kwa team yetu ya Taifa stars. Kwanza hivi zile million kumi kumi zao walishapewa?
Tanzania tunajiandaa vipi kwenda kushiriki AFCON? Naona kina Samatta wanaendelea kuhudhulia iftar tu huku kina Okwi wapo Any dhabi wakijifua.
Tukifungwa Hamsa au Hamsa mbili tutamlaumu wachezaji,kocha. Je tumewapa chances za kujiandaa?.
Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Taifa stars.