Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Mimi napenda sana football napenda kuona mataifa mbalimbali yanapozipa kipaumbele team zao na hata kuzigharamia kwenda mataifa ya nje kujifua ili kujiandaa na AFCON. Nasikitika sioni kabisa amsha amsha kwa team yetu ya Taifa stars.
Kwanza hivi zile million kumi kumi zao walishapewa?
Tanzania tunajiandaa vipi kwenda kushiriki AFCON? Naona kina Samatta wanaendelea kuhudhulia iftar tu huku kina Okwi wapo Abu Dhabi wakijifua.
Tukifungwa Hamsa au Hamsa mbili tutamlaumu wachezaji, kocha. Je tumewapa chances za kujiandaa?
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Taifa Stars.
Kwanza hivi zile million kumi kumi zao walishapewa?
Tanzania tunajiandaa vipi kwenda kushiriki AFCON? Naona kina Samatta wanaendelea kuhudhulia iftar tu huku kina Okwi wapo Abu Dhabi wakijifua.
Tukifungwa Hamsa au Hamsa mbili tutamlaumu wachezaji, kocha. Je tumewapa chances za kujiandaa?
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Taifa Stars.