Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii Uuwiii
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwa kweli siamini kama Leo umeamua kunisaliti. Mapenzi yako kwa Tanzania yanayumbishwa ba muheshimiwa sanaaaa???
[emoji23][emoji23][emoji23]nimechoka kuunga juhudi kwa kazima kwenye maisha halisi na huku mtandaoni pia.

Haujui tuu ni kiasi gani leo tulivyoungishwa juhudi kwa kazima na jezi nimenunua[emoji17][emoji17][emoji17]
 
Hahahahahah halafu usione nabwabwaja hapa nishampongeza huko kwenye dunia ya kawaida ila ile ni ya kinafki. Huku ndiyo ya kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Wewe umenishinda tabia!!
Acha unafiki uende mbinguni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushindi kwa stars Ni tatizo kwa watanzania, kuna mtu anaitwa bashite atatunyea mwezi mzimaaaa
 
Back
Top Bottom