Hahahahahah halafu usione nabwabwaja hapa nishampongeza huko kwenye dunia ya kawaida ila ile ni ya kinafki. Huku ndiyo ya kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha hahaha hahaha hahaha
Sipati picha jamanii
maana kenya lazima akampige senegal, ni swala gumu. huku cc tuna algeria ambaye kashafuzuTukishinda mechi ya Leo
Dalili za kupita kama best looser ipo ndio
[emoji23][emoji23][emoji23]nimechoka kuunga juhudi kwa kazima kwenye maisha halisi na huku mtandaoni pia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli siamini kama Leo umeamua kunisaliti. Mapenzi yako kwa Tanzania yanayumbishwa ba muheshimiwa sanaaaa???
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaHahahahahah halafu usione nabwabwaja hapa nishampongeza huko kwenye dunia ya kawaida ila ile ni ya kinafki. Huku ndiyo ya kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
WaoFanya hivyo jamani.
Vipi possession nani anaongoza?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pale dua za hasi na chanya zinapokutana[emoji23][emoji23][emoji23]
Unanilipia mkuu?Naomba uthamini wa kisimbusi chako.
CCM 2 Kenya 1.Ngapi ngapi huko
Tuthamini vya kwetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kweli maendeleo hayana chama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] Mimi ni mzalendo no matter whatCCM 2 Kenya 1.
Maendeleo hayana chama. Makamanda mtapasukaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha leo nipo na stars..njoo wsp mara moja
Ila Leo star naona inamashabiki wengi, huu ndo uhuni mnaowafanyia chadema kila diku kwa masanduku ya kura daah watz si watu ni vigeu geu
Dada la dada, mkeka wako unachanika.Hahahahahah halafu usione nabwabwaja hapa nishampongeza huko kwenye dunia ya kawaida ila ile ni ya kinafki. Huku ndiyo ya kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eeh mna mkono mrefu.
Hamshindwi kuwa mmechezesha "mabaunsa" nasikia sura ya msuva mwili wa baunsa
Hahaha wew niache bana...ngoja tumalizie ngwe ya pili[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mtu ukishangilia ccm na kumbukumbu zinahama. Nije whatsup au nikufungulie pm[emoji23]