Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
[emoji31][emoji31][emoji31] mpaka nimekosa usingizi mkuu. Yaani nimeumia sana. Bora hata ingekuwa kati tu.
Mti wenye matunda.
Makosa ya hv yanamgharimu mno.....au usikute alikuwa kwenye munkari zake na yeye....dah imeniuma sana hii gemu halafu anatokea mtu huko ananiambia mm ccm cjui bashite yaani dadeq mama-e zao...
Mti wenye matunda.