Makosa ya hv yanamgharimu mno.....au usikute alikuwa kwenye munkari zake na yeye....dah imeniuma sana hii gemu halafu anatokea mtu huko ananiambia mm ccm cjui bashite yaani dadeq mama-e zao...
Dah...that's it...inavyoonekana hatutavuna pointi yoyote...ni aibu japo naona wengine wanachekelea but mwisho wa siku aibu inatuangukia watanzania wote...no way out...[emoji31][emoji31][emoji31] mpaka nimekosa usingizi mkuu. Yaani nimeumia sana. Bora hata ingekuwa kati tu.
Mti wenye matunda.
Dah...that's it...inavyoonekana hatutavuna pointi yoyote...ni aibu japo naona wengine wanachekelea but mwisho wa siku aibu inatuangukia watanzania wote...no way out...
Kisura wako niko hapa[emoji133]
maana kenya lazima akampige senegal, ni swala gumu. huku cc tuna algeria ambaye kashafuzu
Hahahahahah halafu usione nabwabwaja hapa nishampongeza huko kwenye dunia ya kawaida ila ile ni ya kinafki. Huku ndiyo ya kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi harambeeeNani ameshinda?
Mimi sio shabiki wa mpira hivyo nashangalia timu itakayoshinda ..Tz ikishinda sio mimi niliye andika hii comment
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilivyo mnafkiii, nalaza status whatsup kabisa.
Kwamba " Hongera sana Taifa stars , mmedhubutu. Kwa hatua hiyo nyie ni washindi.... Hongera RC wangu Makonda wewe ni jembee tupo pamoja" hapo na namba ya boss naisave ili aone.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kitambo sana sijafanya hizi mambo;Asanteni mashemeji kwa kunipa hela ya supu jana,mungu ibariki Harambee Stars.
View attachment 1140728
Nakusalimu Mimi mama ake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chizi wewe
SitakiNitakuomba msamaha kesho[emoji17][emoji17][emoji17]nithameheeee
Sijambo mimi babake!Nakusalimu Mimi mama ake
Nimedamkia kwa gereji
Nipo napata kahawa hapa
Aya mama akeSijambo mimi babake!
Ndo merudi lindo nataka nilale kidogo
Inataka moyo sana maana first half nikajua Bashi Boy kaniprove wrong nikaingia kulala,kumbe gundu zake zilikuwa bado zipo hewani maana naangalia asubuhi nakuta mashemeji wamepindua matokeo. π π π π π πKitambo sana sijafanya hizi mambo;
Enzi zangu chuo unakuta nishstia boom lote 450k apo. Full presha na kupanda.
Hongera kwa hela ya supu mkuu
We fala jifunze kufikiri...umeona mhusika wa unayoengea ni Mimi...mm nashabikia stars.... Hizo stress zako za politics na vyama vyenu peleka huko unapojua ww..Laana ya Kuunganisha timu na chama chakavu ccm haiwezi kuwaacha salama pumbafu nyie
Hata kama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chizi wewe