Uzalendo umenishinda kwa kweli.Umekushinda uzalendo???
Siwezi kutekeleza ilani ya ccm mimi [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzalendo umenishinda kwa kweli.Umekushinda uzalendo???
Mkiongeza moja wataishiwa nguvuWaache wapanic ivo ivo ndo dawa ya kuwapiga nyingi
[emoji23][emoji23]nawaaminia Kenya.Mh leo utalala na hali mbaya kama ni hivyo
Duuh hatariEeh na maombi yake atasema yamefanya kazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Directly au indirectly???Uzalendo umenishinda kwa kweli.
Siwezi kutekeleza ilani ya ccm mimi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahhahaahahah sisi kijembe chetu ameahatupiga Leo Leo[emoji23][emoji23][emoji23]kwamba kama tunasema chenye uhakika wa kushinda tz ni ccm tuu sasa na stars ni ccm[emoji23][emoji23]Kesho atawazodoa kina ndugai na wenzake na sie wote kazi tunayo
Ewaaa umeanza kujua mapoint ya kuchangaingia; taratibu taratibu tuMkiongeza moja wataishiwa nguvu
Acha kuwa na roho ya amani vitani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi japo nachukia kuweka siasa kwenye timu yetu lkn bado nina karoho ka uzalendo.
Hahaha hahahaEwaaa umeanza kujua mapoint ya kuchangaingia; taratibu taratibu tu
Ngoja tuone hapa lkn kuna kila dalili za kulala kwa taabu wewe leo[emoji23][emoji23]nawaaminia Kenya.
Directly[emoji23]Directly au indirectly???
Vita ni vita muraa; muambie uyoAcha kuwa na roho ya amani vitani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na iwe hivyo[emoji23][emoji23]Ngoja tuone hapa lkn kuna kila dalili za kulala kwa taabu wewe leo
Yeah watakaa tu leo, tukitoka hapo tnapiga Algeria tunasonga mbeleMkiongeza moja wataishiwa nguvu
Anakuwaje na roho nyepesi kiasi hicho[emoji23][emoji23][emoji23]. Hapa ni vita mwendo mmojaVita ni vita muraa; muambie uyo
Computers zetu, barabara zetu, mataa yetu ya barabarani, kila kitu chetu usitumie na fanya uhamie Nairobi.Directly[emoji23]
Ila Mimi nimekuelewa saana yana.Na iwe hivyo[emoji23][emoji23]