Ulimwengu anakautegevu fulani hivi! Hakabi vizuri kabisaaaYeah watakaa tu leo, tukitoka hapo tnapiga Algeria tunasonga mbele
Wewe hauwezi kunifanyia mimi hivyo.Computers zetu, barabara zetu, mataa yetu ya barabarani, kila kitu chetu usitumie na fanya uhamie Nairobi.
Hiyo mpira wake ni wa nguvu si mzuri kwenye ukabajiUlimwengu anakautegevu fulani hivi! Hakabi vizuri kabisaaa
Namuona anatembea tembea tuuHiyo mpira wake ni wa nguvu si mzuri kwenye ukabaji
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe hauwezi kunifanyia mimi hivyo.
Haki yangu kama mtanzania ninyang'anywe sawa ila nitajabanana na wewe tutumie haki yako pamoja.
That's how it meant to be.
Kunywa juice ya limao mama akeUlimwengu anakautegevu fulani hivi! Hakabi vizuri kabisaaa
Basi fanya uwezavyo timu ya bashite isishinde.Ila Mimi nimekuelewa saana yana.
MmmhBasi fanya uwezavyo timu ya bashite isishinde.
Kacheze weweTukiwafunga wakenya ni bahati yetu. Tunacheza mpira mbovu,timu haiwezi piga pasi hata nne kuelekea kwa adui,hovyo kabisa.
ewaaa karibu tuchambue soka pamoja sasa kisuraKisura wako niko hapa👯
Tz wanaongoza moja dk 37Mwenye matokea ya mechi hii atujuze hapa. Wengine tupo mbali na redio na TV.
Hahahaahahahahah!Basi fanya uwezavyo timu ya bashite isishinde.
This is cruel and unfair.. Especially when it comes from you.[emoji17][emoji17][emoji17][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya, amri moja sasa! Utatengua kauli na kuwaombea timu ya chama ishinde. Wewe huoni mpaka tumetumia kodi za watanzania kumpeleka muheshimiwa sana akawape wachezaji hamasa
Hebu uilipie kwanza babakeKunywa juice ya limao mama ake
hahaha una kichwa kizuri cha kuelewa sana.
Sasa unachambua tu