Namwona wapi[emoji23][emoji23][emoji23]sijalipia king'amuzi.Baaaasi baby girl.
Ila unamuona samatta???
Nipo napiga porojo tuu hapa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namwona wapi[emoji23][emoji23][emoji23]sijalipia king'amuzi.Baaaasi baby girl.
Ila unamuona samatta???
Juhudi za awamu pendwa...Daaah bashite sijui anatumia uchawi gani
Samagoall
Mpira unavutiaa
cute b anajua dua zangu zilivyo na nguvu🤣🤣🤣🤣Duwa zako zimesikilizwa
Teh
Ccm 2 kenya 1
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namwona wapi[emoji23][emoji23][emoji23]sijalipia king'amuzi.
Nipo napiga porojo tuu hapa .
Aki Leo usiondoke uku, nahisi una kanyota wallah;Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Tumerudishaaaa
Hatari sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] match kali sana
[emoji23][emoji23][emoji23]asante jamani.Poleeee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyo tuu. Mechi ya kwanza nilisaport stars vizuri sana. Ila sasa huyu anasema taifa stars ni UVCCM [emoji23][emoji23][emoji23]haikubaliki.
Wa leo ndo mpira, hakuna kuremba! Ni kupambana tuuLeo tunacheza mpira mzuri mno kama sio sisi tuliocheza na senegal
Betting is not for you[emoji23][emoji23][emoji23].Acha hizo dadaaa me nmebet ujue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aki Leo usiondoke uku, nahisi una kanyota wallah;
Safiiiiii, huu ushangiliaji ni wa kizalendo haswaGoooooaaaalllllll
Hahaha hahaha hahaha hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]asante jamani.
Kenya nimewaamini sasa wanani aibisha.
Hamna namna kwa kweliWaooohh,
Ufunge usiku huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji849][emoji849]Betting is not for you[emoji23][emoji23][emoji23].
Hebu Kenya wafunge bhana tusije tukafukuzwa huku Kenya.