Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Engineer Michael Olunga. Tanzania fanyeni mziki michezo hamuiwezi
 
Hebu lala basi kesho ukaonyeshe uzalendo
Nilivyo mnafkiii, nalaza status whatsup kabisa.
Kwamba " Hongera sana Taifa stars , mmedhubutu. Kwa hatua hiyo nyie ni washindi.... Hongera RC wangu Makonda wewe ni jembee tupo pamoja" hapo na namba ya boss naisave ili aone.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilivyo mnafkiii, nalaza status whatsup kabisa.
Kwamba " Hongera sana Taifa stars , mmedhubutu. Kwa hatua hiyo nyie ni washindi.... Hongera RC wangu Makonda wewe ni jembee tupo pamoja" hapo na namba ya boss naisave ili aone.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haki ya nani😫😫😫😫😫
 
Back
Top Bottom