Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dadiooo [emoji28][emoji28][emoji28]Safi kabisa Kenya mmejua kunifurahiisha Kenyaaaa,dadiooo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji28][emoji28][emoji28]Inataka moyo sana maana first half nikajua Bashi Boy kaniprove wrong nikaingia kulala,kumbe gundu zake zilikuwa bado zipo hewani maana naangalia asubuhi nakuta mashemeji wamepindua matokeo. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
😂😂😂😂Nilipitwaje na huu Uzi. Asanteni Kenya kwa kumwangusha bashite. Ajifunze kutokuhusisha mali ya wananchi na ulimbukeni wake wa kisiasa.
Kenya 3 -Makondakta2.
4G LTE naona umepita kimya kimya. Nakusalimia.
[emoji28][emoji28]umekuwa mtazamaji.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante kwa salam na salam zikufikie pia.
Mpambano wa wenyewe huu, sina mbavu za kutiana adabu aisee..
Kwa kweli[emoji28][emoji28]umekuwa mtazamaji.
TUMEPIGWA SISI KIBOYA TENA JAPO TULIJITAHIDI ILA SISI AISEE, HONGERENI KENYAHopefully tutawapiga Harambee stars kipigo cha mbwa koko.
HAHAHA KUMBE NA WEWE NI MMOJAWAPO AMBAYE ......THEY DEED ALL THE NEEDFUL TEHEETEHETEKenyan please, Do the needful.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Leo Kila upande Unaona mechi ya Fainali
Nibora ufungwe Nusu Fainali kuliko mechi ya leo
Maana Imekuwa shida kabisa
Tambo zimepitiliza aisee!!
Kejeli, porojo Na utani wa kila aina
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe umemzidi urembo[emoji108]
[emoji23][emoji23][emoji23]HAHAHA KUMBE NA WEWE NI MMOJAWAPO AMBAYE ......THEY DEED ALL THE NEEDFUL TEHEETEHETE
Wa kiume mm bibie, naona unanitafuta tu.Wewe umemzidi urembo[emoji108]
Kwani mimi nimesema wewe ni msichana? Nimesema umemzidi uzuri.Wa kiume mm bibie, naona unanitafuta tu.
No hell noKwani mimi nimesema wewe ni msichana? Nimesema umemzidi uzuri.
mmh no man is mzuri unless...so kubaliana na BIG NO YAKE TU teheteheteheKwani mimi nimesema wewe ni msichana? Nimesema umemzidi uzuri.
Kwahiyo kama wanaume siyo wazuri inamaanisha wanawake ndo wazuri.mmh no man is mzuri unless...so kubaliana na BIG NO YAKE TU tehetehetehe
Kesho mnarudi pekee enyu unless Mali and Cameroon walose to Benin and Angola.Kenya 0-3 Algeria,,hatimae kesho tunarud pamoja..hahaa