Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Nilipitwaje na huu Uzi. Asanteni Kenya kwa kumwangusha bashite. Ajifunze kutokuhusisha mali ya wananchi na ulimbukeni wake wa kisiasa.
Kenya 3 -Makondakta2.

4G LTE naona umepita kimya kimya. Nakusalimia.
 
Inataka moyo sana maana first half nikajua Bashi Boy kaniprove wrong nikaingia kulala,kumbe gundu zake zilikuwa bado zipo hewani maana naangalia asubuhi nakuta mashemeji wamepindua matokeo. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nilipitwaje na huu Uzi. Asanteni Kenya kwa kumwangusha bashite. Ajifunze kutokuhusisha mali ya wananchi na ulimbukeni wake wa kisiasa.
Kenya 3 -Makondakta2.

4G LTE naona umepita kimya kimya. Nakusalimia.
😂😂😂😂
Asante kwa salam na salam zikufikie pia.
Mpambano wa wenyewe huu, sina mbavu za kutiana adabu aisee..
 
Tz . Magufuli analia nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
FB_IMG_15619528875909755.jpeg
 
Back
Top Bottom