Harambeeee ya kutowaunga mkono wasanii wote wanaomuunga mkono Magufuli na Daudi Bashite

Dats why namuelewa john makini na Ay awa jamaa wanajua wanafanya nini huwezi kuwakuta kwenye mambo ya vyama vya siasa wakionyesha mapenzi yao kwa vyama
 
Huo ujinga wako wako baki nao na usiforce tufanane,, na maneno yako sio msaafu au biblia,,,, usitake tufanye unachopenda wew
 
Tukishafata huo ujinga wako, unataka stress zetu za maisha tuzitoe na nn? Kila Ana haki ya kufata kunakompendeza mwenyewe.
 
Too bad kwa sababu inawezeka 75% wakawa wanamkubal maguful na makonda kuliko unavyofikiria ila ukiwa kweny social network hiz inaendana na mziki unaopigwa ili kujiepusha na kelel
 
yaaan na mistress yangu hii niliyonayo bado unaniambia nianze kuwakaushia baadhi ya wasanii? wakati nyimbo zao ndo angalau zinanipunguzia stress zangu?
 
Ni hoja nzuri sana sema ngumu kutekelezeka kutokana na uelewa wetu watanzania. Mifano chukueni Marekani CEO wa Starbucks alisema atampinga Trump kwa kwenda mexico kuchukua wafanyakazi ikaanza kampeni ya kugoma kwenda starbucks. Wawekezaji wameona wanapoteza hela jamaa imebidi ajiuzulu. Kuna mchezaji wa NFL Colin Kaepernick hana timu kwa sababu wanahofia msimamo wake wa kisiasa unaweza kuathiri timu zao na nikijana mdogo tu wa miaka 29. Kuna lile sakata la baadhi ya maduka ya nguo kugoma kuuza bidhaa za Ivanka Trump watu nao wakaweka mgomo kununua bidhaa kwenye maduka yao. Tatizo uelewa huu bongo bado sana.
 
tu
usifoce tufanene wewe veep
 
achana na vijana wapige pesa kwa njia yoyote wanayo weza

kama umekosa Idea ya kumzingua mkulu na mwanae basi
 
Eti 75% Ha ha ha ha!
 


Utaumia sana kama utataka kukimbizana na uozo wa kila rangi unaoonekana katika misimu tofauti tofauti. Tatizo siyo la mkuu wala kijana wake. Tatizo ni la ccm!. Ccm imeshindwa kuthamini Watanzania miaka mingi na imekuw aikiongoza nchi kwa uharibifu na hila. Na hii ndiyo sababu ccm kwa umoja wao hawataki katiba ya Warioba na ndiyo sabbu ya hujuma zorte zilizofanyika ktk bunge la katiba.

Ninatoa wito, tukitaka kuondokana na udhalilishwaji huu, ni lazima tuanze na marekebisho ya ktiba ili hata kama atasimamia mwehu, ajue atawajibika kwa kila alifanyalo. Lazima katiba iwalazimishe watawala kuheshimu raia na raia waheshimu serikali yao na kuitetea.

Tuanze na katiba ya nchi ili kuondoa viburi na dhrau ambazo zimefanywa awamu zote hasa ya nne kiasi cha kutuletea huzuni hizi kwa ubabe ambao unaasisiwa na katiba iliyopo.
 
Nyie kama nani? Msitake kuwagawa watanzania kuna watu wanampenda jb au diamond na hawana hata ufahamu wa siasa na hawana chama hao mtawashawishije.Dogo hujielewi naona.
Na wale wanaompenda Lema na hawana tofauti naye, unamwambieje mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…