Harambeeee ya kutowaunga mkono wasanii wote wanaomuunga mkono Magufuli na Daudi Bashite

Harambeeee ya kutowaunga mkono wasanii wote wanaomuunga mkono Magufuli na Daudi Bashite

Habari zenu wanajamvi ?

Kwa niaba yenu wapenzi wa hii forum yetu pendwa ya celebrities ,leo nimeamua kuja na wazo la kutowaunga mkono wasanii wote wanaomuunga mkono magufuli na bashite wake.

Tusiwaunge mkono kuanzia kununua kazi zao ,kutohudhuria show zao, kuto request nyimbo zao redioni au kwenye television kuto wapongeza kwa chochote kile ikiwemo simulation zao za kuzaliwa ,kutowasaidia pindi watakapopatwa matatizo yoyote mpaka pale watakapoacha kuwashabikia magufuli na bashite wake.


Mpaka sasa ni ukweli usiopingika kwamba 75% ya watanzania tupo against na anachokifanya magufuli kwa sababu ameinajisi kwa kiasi kikubwa katiba yetu na kudhulumu haki zetu za msingi huku akishirikiana na bashite

Hivyo basi msanii yeyote kwa atakayeonekana yupo na hawa mabwana tumtenge totally ili kazi zake atakazozitoa zimdodee mpaka pale atakapojirekebisha na kuja kujiunga na watz wote kwa pamoja ili tupinge huu udikteta unaofanywa na hawa mabwana wanaojivisha uungu utu.
Tusinunue bidhaa na kutumia service ya ile kampuni inayo sponsor ufisadi, rushwa, inayojihusisha na biashara haramu, inayokwepa kodi formerly Home Shopping Centre. Wanatuharibia nchi yetu
 
Mfano cheti cha makonda kina tija gani kwako kijana
Haki bin haki! [HASHTAG]#utawalawasheria[/HASHTAG] [HASHTAG]#hamnamtujuuyasheria[/HASHTAG] [HASHTAG]#zoeziLaUhakikiWaVyetiLikoNchiNzima[/HASHTAG] [HASHTAG]#alilianzishaMagufuli[/HASHTAG]
 
Niache kupata burudani kisa siasa viongozi wenyewe kwenye clab za simba na yanga wanashirikiana sembuse wewe mkia
 
Na wale wanaompenda Lema na hawana tofauti naye, unamwambieje mkuu.
Wampende tu ila isiwe sababu wasanii walioenda kupiga show kwenye sherehe za makada wa ccm eti wachukiwe hiyo ni ujinga wa level ya PhD
 
huu ni upepo uta pita tu kama swala la vyeti linavyo sahaulika..
 
Back
Top Bottom