Salutue Bosses! Ninauza Harddisk ambayo ina 160GB na RAM-1GB. Zote ni za desktop, used kidogo na ni nzima. Bei ya Hard disk ni 30,000/= na RAM ni 20,000/= respectively. Mwenye kuhitaji ani pm tufanye biashara. Pia hii kwa watu wa Dar tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.