Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
Inasemekana matunda yasiyo na mbegu ndani asilimia kubwa yametengenezwa na mwanadamu na hayana nutrients
Halisi kama haya yaliyozalishwa na nature
Mfano kwasasa kuna machungwa , ndimu ,limao maembe nk yasio na mbegu ndani
Ukiuliza wanakwambia ni aina ya hayo matunda lakini kiuhalisia ni zalisho la mwanadamu
Pia ndizi hizi inasemekana si halisi ndizi halisi zina mbegu ndani
Matunda mengi tulayo sasa hayapo katika uhalisia wake
Je wana lengo gani??? Kuharibu
Nature na vitokavyo kwenye nature?
Maana vitokavyo kwenye nature vingi ni msaada katika miili yetu hasa kupambana na magonjwa
Halisi kama haya yaliyozalishwa na nature
Mfano kwasasa kuna machungwa , ndimu ,limao maembe nk yasio na mbegu ndani
Ukiuliza wanakwambia ni aina ya hayo matunda lakini kiuhalisia ni zalisho la mwanadamu
Pia ndizi hizi inasemekana si halisi ndizi halisi zina mbegu ndani
Matunda mengi tulayo sasa hayapo katika uhalisia wake
Je wana lengo gani??? Kuharibu
Nature na vitokavyo kwenye nature?
Maana vitokavyo kwenye nature vingi ni msaada katika miili yetu hasa kupambana na magonjwa