Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Akaaaa kajaamaaa bhaaaanaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mh anatetea uh
ai mwenzenu! Bt kulikua na haja gani kutoa silaha ya moto pale kwani kulikua na vita? Mbona mh.mwenyewe hakua na silaha na alionekana kuwa kwenye hali ya utulivu tu.
 
Hahahaaaaa Harmorapa mzee wa fursa.

Alivotimua baada ya kuona mguu wa kuku is classic.

I really like that kid.

Haachi fursa zimpite[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mmakonde sio wakuamini kabisa hebu mwone
 
1b8205668e079084612eca9f6771c486.jpg


harmo rapa bana [emoji28] [emoji23] [emoji23]
alooneshwa bunduki katulia yeye sasa mbiooooooooo
 
Acha wafu wazike wafu wao the end is come soon nape ndiye aliye jipongeza kwa kusifia bao la mkono la CCM acha ili muvi la maangamizi ya team milembe liendelee
 
Nchi ikiwa haina katiba inayoeleweka ndio watu hufanya mambo ya kijinga uonevu, hata kuuwa kwa kujua systems inawalinda feeling sad for my country ndio tumefikia hapa ngoja tuone baada ya miaka kumi leo kwa Nape kesho kwetu.
 
Nimesikitishwa na Hali iliyojitokeza ila kwa kuwa sijui Kwanini siwezi changia mie sio msekondary nijiulize maswali Afu nilazimishe majibu. Pamoja na hayo mbio za Harmorapa ndio kitu nachpenda kushare na hata mtu mmoja mweleewa .kwangu uwingi wa mchwa sio shida. Harmorapa anawakilisha wengi sana humu ambao wanatukana kisa hwajulikani na hawajawahi face vya moto mambo haya ya kucheza na amani kwa kelele bila hoja ikija ikikutokea Ndo unajua Harmorapa alitumia mbaw au miguu.
 
Nimecheka mpaka basi toka mwaka uanze Leo kiukweli hamorapa kanichekesha sina hamu kiki mbaya du!
 
Kilichonistua Inakuwaje Anaweka Risasi Kwenye Chemba, Halafu Anairudisha Kiunoni Na Kuanza Purukushani Ikifyatuka Je??.

Nani Aliyemfundisha Kuwa Matumizi ya Silaha za Moto Yako Hivyo?

Hili Jeshi Letu la Polisi Limejaa Wahuni Wengi Sana Kuanzia Ngazi za Juu Mpaka Hawa Askali Kanzu

Tanzania Inarudi Kwenye Dark Days Kama Mambo Yenyewe ni Hivi
Usiogope tulipotea njia kwenye dark day hiyo inabidi turudi kwanza kisha tutapata njia sahihi hao kina nape walikataa democracy acha waumia akuna namna
 
Halafu huyu dogo anapenda kiki za k'shamba kweli kweli !

Wakati Ali kiba anarudi kutoka kuchukua tuzo yeye ndiye wa kwanza kupiga magoti kutaka kumpa tishirt

Juzi huyo kwenye studio za shilawadu

Leo kwa Nape kala kubwa baada ya kuona bastora ...

Kiki zingine bhana ? Sijui hakana hata show za kufanya ?
 
Jamaa anaonesha alidhamiria kuua kabisa, tushukuru Mungu tu hilo halikutokea, ukiangalia alitoa bastola kwa haraka sana na hakukua na mabishano makali kivile ya kumfanya atoe ile bastola, anyway ukombozi wa nchi hauwezi kuja ghafla toka ijumaa na hii week naona tupo kwenye njia ya ukombozi, soon tutakuwa wote tuna haki sawa na nchi yetu itafuata misingi ya haki na sheria.
Kusema kweli Nape nae kamuonyesha jamaa dharau mbaya sana.huyo jamaa mzuka kweli ulimpanda na angeweza kumuwasha kweli ingawa hakutumwa kufanya hivyo.
 
Nchi inaenda mlama sasa tunakoelekea ni kubaya mno.watoto vijana tunajifunza nini? Yaan katika maisha yangu yote sikutegemea kama uongoz wa awamu ya tano itakua hiv chuki,fitina,na matumiz ya nguvu ndo ekua democrasia sasa,ukisema ukwel unaonekana ndo msaliti.uongoz wa saiv hata watoto wadogo washauona udhaifu wake.sembuse sisi.nasikitika Tanzania tunapoteza sifa yetu ya Uhuru na amani. Wanasiasa wakongwe na wenye busara mpo wapi? Kina baregu,warioba,shivj maprofesa,na wasomi mpo wapi?marais wastaafu jk,Bm,mzee wa ruksa mpo Tanzania hii kwel?hamyaoni haya? Saidieni kuokoa jahazi hili tunazama.naongea hivi huku nikitokwa machozi kweli aibu hii tunaipeleka wap? Ccm kama kweli vichwa vyenu mliona huyu ni bora kuliko wote anafaa basi poleni sana.ccm nlijua mmemteua Mwenye hekima kama Solomon kumbe sivyo.kila kona viongoz Hawa wawili wamekua gumzo.wamechukiwa na rika zote.CHAGUEN HIVI LEO MTAE MTUMIKIA MIMI NA NYUMBA YANGU NTAMTUMIKIA BWANA. Ahmen
 
Hivi huyu Jamaa aliemtolea Nape Bastola ni nani?

Yaani kabisa ndio wamefundishwa hivyo huko TISS? Yaani yeye hawezi kujenga hoja? Au anafikiri mtu mpaka kufikia hatua ile anaogopa hizo Risasi?

Kwanza kavaa jeans ya kishamba sana kapelo ya kikoromije! Wenzake wote wako smart and Busara za Hali ya juu.

Inamaana yeye Ndiye aliambiwa Kamtoe akikataa PIGA RISASI ILKUSUDI TUTAWALE BILA OBSTACLES?

Mimi kama Mtanzania sijapenda kabisa lakini uzuri wa KARMA ni kama Kioo, Haidanganyi hata ufe Leo, Itakuandama tu.

Ewe mtoa uhai kwa Bastola Amewaaibisha sana Wenzio Leo, Huyo Bado ni Mbunge na Anajua siri nyingi sana za chama na serikali huenda kuliko wewe na huyo mwenzio aliebariki matumizi ya Bastola.. mmeona Bunduki na Bastola ndio mkombozi Wenu...

Mungu Haendi Likizo.


Kaulizwa kitambulisho katoa pisto, JE Kama angeulizwa cheti si angetoa bom [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah! harmorapa kaniacha hoi.. Si kwa mbio hizo! [emoji38] [emoji38] [emoji38] jamaa anatafuta kiki kwa nguvu zote!
 
Kilochoteka hapo na unprofessional kabisa... Hata kama umeagizwa kazi, kutumia akili za kuzaliwa ni mihimu sana pia...


Mpaka anaambiwa ataaharibu mambo sasa... lakini bado anapandisha jazba...


Ni hatari sana kwa kweli...
Sijaelewa pia Kitenge anamaanisha nini kumwambia jamaa utaharibu mambo sasa"
 
Back
Top Bottom