Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmakonde sio wakuamini kabisa hebu mwoneHahahaaaaa Harmorapa mzee wa fursa.
Alivotimua baada ya kuona mguu wa kuku is classic.
I really like that kid.
Haachi fursa zimpite[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha Kiki zitamuua huyu dogo
Atapigwa risasi ya tako awe anakalia kichwa
Usiogope tulipotea njia kwenye dark day hiyo inabidi turudi kwanza kisha tutapata njia sahihi hao kina nape walikataa democracy acha waumia akuna namnaKilichonistua Inakuwaje Anaweka Risasi Kwenye Chemba, Halafu Anairudisha Kiunoni Na Kuanza Purukushani Ikifyatuka Je??.
Nani Aliyemfundisha Kuwa Matumizi ya Silaha za Moto Yako Hivyo?
Hili Jeshi Letu la Polisi Limejaa Wahuni Wengi Sana Kuanzia Ngazi za Juu Mpaka Hawa Askali Kanzu
Tanzania Inarudi Kwenye Dark Days Kama Mambo Yenyewe ni Hivi
Kusema kweli Nape nae kamuonyesha jamaa dharau mbaya sana.huyo jamaa mzuka kweli ulimpanda na angeweza kumuwasha kweli ingawa hakutumwa kufanya hivyo.Jamaa anaonesha alidhamiria kuua kabisa, tushukuru Mungu tu hilo halikutokea, ukiangalia alitoa bastola kwa haraka sana na hakukua na mabishano makali kivile ya kumfanya atoe ile bastola, anyway ukombozi wa nchi hauwezi kuja ghafla toka ijumaa na hii week naona tupo kwenye njia ya ukombozi, soon tutakuwa wote tuna haki sawa na nchi yetu itafuata misingi ya haki na sheria.
Nape Nnauye ni right handed ukimuangalia katika video hii huenda na yeye alikua ana silaha 9mm hand gun kama wengine mnavyooita Bastola, Chuma, Mguu wa kuku!
Hivi huyu Jamaa aliemtolea Nape Bastola ni nani?
Yaani kabisa ndio wamefundishwa hivyo huko TISS? Yaani yeye hawezi kujenga hoja? Au anafikiri mtu mpaka kufikia hatua ile anaogopa hizo Risasi?
Kwanza kavaa jeans ya kishamba sana kapelo ya kikoromije! Wenzake wote wako smart and Busara za Hali ya juu.
Inamaana yeye Ndiye aliambiwa Kamtoe akikataa PIGA RISASI ILKUSUDI TUTAWALE BILA OBSTACLES?
Mimi kama Mtanzania sijapenda kabisa lakini uzuri wa KARMA ni kama Kioo, Haidanganyi hata ufe Leo, Itakuandama tu.
Ewe mtoa uhai kwa Bastola Amewaaibisha sana Wenzio Leo, Huyo Bado ni Mbunge na Anajua siri nyingi sana za chama na serikali huenda kuliko wewe na huyo mwenzio aliebariki matumizi ya Bastola.. mmeona Bunduki na Bastola ndio mkombozi Wenu...
Mungu Haendi Likizo.
Sijaelewa pia Kitenge anamaanisha nini kumwambia jamaa utaharibu mambo sasa"Kilochoteka hapo na unprofessional kabisa... Hata kama umeagizwa kazi, kutumia akili za kuzaliwa ni mihimu sana pia...
Mpaka anaambiwa ataaharibu mambo sasa... lakini bado anapandisha jazba...
Ni hatari sana kwa kweli...