Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Hivi huyu Jamaa aliemtolea Nape Bastola ni nani?

Yaani kabisa ndio wamefundishwa hivyo huko TISS? Yaani yeye hawezi kujenga hoja? Au anafikiri mtu mpaka kufikia hatua ile anaogopa hizo Risasi?

Kwanza kavaa jeans ya kishamba sana kapelo ya kikoromije! Wenzake wote wako smart and Busara za Hali ya juu.

Inamaana yeye Ndiye aliambiwa Kamtoe akikataa PIGA RISASI ILKUSUDI TUTAWALE BILA OBSTACLES?

Mimi kama Mtanzania sijapenda kabisa lakini uzuri wa KARMA ni kama Kioo, Haidanganyi hata ufe Leo, Itakuandama tu.

Ewe mtoa uhai kwa Bastola Amewaaibisha sana Wenzio Leo, Huyo Bado ni Mbunge na Anajua siri nyingi sana za chama na serikali huenda kuliko wewe na huyo mwenzio aliebariki matumizi ya Bastola.. mmeona Bunduki na Bastola ndio mkombozi Wenu...

Mungu Haendi Likizo.
Ndio kazi yao hiyo na wanatumwa sana kuifanya na maisha yao yote kizani, ndio maana unamuona mshamba mshamba hajazoea maisha kwenye mwanga waungwana wanaishi vipi.
 
Hivi huyu Jamaa aliemtolea Nape Bastola ni nani?

Yaani kabisa ndio wamefundishwa hivyo huko TISS? Yaani yeye hawezi kujenga hoja? Au anafikiri mtu mpaka kufikia hatua ile anaogopa hizo Risasi?

Kwanza kavaa jeans ya kishamba sana kapelo ya kikoromije! Wenzake wote wako smart and Busara za Hali ya juu.

Inamaana yeye Ndiye aliambiwa Kamtoe akikataa PIGA RISASI ILKUSUDI TUTAWALE BILA OBSTACLES?

Mimi kama Mtanzania sijapenda kabisa lakini uzuri wa KARMA ni kama Kioo, Haidanganyi hata ufe Leo, Itakuandama tu.

Ewe mtoa uhai kwa Bastola Amewaaibisha sana Wenzio Leo, Huyo Bado ni Mbunge na Anajua siri nyingi sana za chama na serikali huenda kuliko wewe na huyo mwenzio aliebariki matumizi ya Bastola.. mmeona Bunduki na Bastola ndio mkombozi Wenu...

Mungu Haendi Likizo.
Hebu tuwekee hiyo video na sisi tuone hiyo jeans aseee
 
27777d2b983ac6e132ad3b3bef9ac6a0.jpg
 
Jamaa anaonesha alidhamiria kuua kabisa, tushukuru Mungu tu hilo halikutokea, ukiangalia alitoa bastola kwa haraka sana na hakukua na mabishano makali kivile ya kumfanya atoe ile bastola, anyway ukombozi wa nchi hauwezi kuja ghafla toka ijumaa na hii week naona tupo kwenye njia ya ukombozi, soon tutakuwa wote tuna haki sawa na nchi yetu itafuata misingi ya haki na sheria.
alishatumwa na yule 0
 
Sina iman hata tone kama aliye mnyoshea nape bastola ni askar wa kawaida
Waswas wangu ni wale wa kule jengo kuuu
 
Habari Wadau..

Tafadhari, Nimeiona video ambayo Nape Ametolewa bastola na mtu ambaye tumeambiwa ni Afisa wa Usalama Wa Taifa..

Ki ukweli kwa jinsi Nape alivyokipigania Chama Cha Mapinduzi si kwa Amri au kwa kuamua mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya vile mbele ya vyombo vya habari.

Cha kusikitisha katumia nguvu mno na kujigeuza kichaa kabisa..

Naamini CCM haimdai Nape ila nape anaidai CCM kwa alichoifanyia kipindi kile imepoteza Heshima..

Na hata wakati wa kampeni Nape aliwahi kutoa kauli isiyo ya kidemokrasia kwamba "ccm itashinda hata kwa bao la mkono"..

Kama Mwana CCM nina heshima kubwa mno kwa Nape..

NINAOMBA TUMTAMBUE TU HATA KWA JINA TU YULE ALIYEMDHALILISHA ICON WA CHAMA CHETU KWA KUMTOLEA BASTOLA NA KUMSUKUMA KAMA PUNDA..(KWA ANAYEMJUA)

Nasisitiza mtu yeyote ambaye anaipenda CCM na kutambua mchango wa Nape Ndani ya CCM na hata uchaguzi wa 2015 hajafurahishwa na jambo hili.

NIMECHUKIZWA MNO KAMA MWANA CCM.


Umechukizwa nini wakati ndiyo tabia yenu nyie ccm, mbona mumewakolimba watu wengi tu
 
Tujiandae kusikia tusivyovijua hata akitawala miaka mia ipo siku ninayoisubiri kwa hamu
2696e555ba422ab4dc2ea24f877b8723.jpg
 
Nape usikate tamaa, watatumia risasi, bomu na silaha zingine lakini HAKI haijawahi kushindwa na dhuluma, chuki, husda!
 
Back
Top Bottom