Kafrican hiyo sheria ya % ya local content kwenye Tv. na radio station Kenya ipo chini ya katiba mpya. Ila Media council of Kenya ilifika mahakamani kuishinikiza serikali iwape muda wa kutengeneza local content(shows na programmes) za kutosha kabla ya sheria yenyewe kuanza kutekelezwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.