Harmonise aliedaiwa kuwatusi wakenya ageuka lulu mbele ya Uhuru na Odinga leo.

Kafrican hiyo sheria ya % ya local content kwenye Tv. na radio station Kenya ipo chini ya katiba mpya. Ila Media council of Kenya ilifika mahakamani kuishinikiza serikali iwape muda wa kutengeneza local content(shows na programmes) za kutosha kabla ya sheria yenyewe kuanza kutekelezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…