Ni chuki tu za kishetani zimewakoleaMungu ambariki.
Niniyi mnaosema kuna Mambo mengi ya kufanya nje na Hilo analotaka kufanya,,kwanini msifanye nyie!??
Kwanini mnataka kumpangia mwenzenu Cha kufanya???
kasomeshe ww yy kachagua kugawa chakulaIt's good idea, lakini kwa maoni yangu angewaza kivingine zaidi, mfano kusomesha watoto yatima, kusaidia wenye uhitaji maalum n.k
Chakula hakijwahi kumtosheleza mtu, tumbo halina Shukran ukila asbh mchana tumbo linataka tena, ukila mchana usiku unahisi njaa...
Hivyo angesaidia watu ili waweze kujikwamua kiuchumi, kielimu hapo sawa
ilo kakuachia weweAo kwanini ilo la kusomesha watoto asilifanye yeye ??
Acha uzoba...kumbe kufanya charity ni ujinga?
Yeye kachagua hilo, wewe fanya hili ulilopendekeza.Idea ya hivyo ukimpa MTU chakula kwa Siku 1 hujasaidia Bali umeongeza tatizo.
Agawe mitaji kwa hao anaowalenga kuwapatia hicho chakula. Ili wafanye kazi kuzalisha na wao kuwa na uhakika wa chakula kila kukicha.
Yeye kasema anafanya charity, wewe unasema sio charity, kakwambia sio charity? sasa ni nini?Acha uzoba...
Hakuna charity hapo...
Wabongo bana.. Mmelogwa!??
Duniani hakuna cha Bure, hicho chakula cha konde boy Nina mashaka nacho, utakuta ukikila bure, unatolewa kafara, na watanzania Kwa kupenda vya bure, aisee konde boy atawatoa kafara wengii
I agree with you, Give a man a fish and you feed him for only a day; Teach him how to fish and you feed him for a lifetime.
Hata hivyo it's too early to make a conclusion what he meant by that post as there is distortion. Anyways, speaking of the case as we currently understand it, i would say, Give what you are capable of giving. Usijitie "ukonki" kwenye hamna... Uwezo wake umefika hapo, na ameona hicho ndicho anaweza hakuna shida kabisa.
ni ujinga ujinga tu..Yeye kasema anafanya charity, wewe unasema sio charity, kakwambia sio charity? sasa ni nini?
Idea yake ni nzuri na inaweza kuwa ya kweli...inaweza kuwa nyimbo ijayo pia inayoitwa kugawana/nitagawana nao 😂
[emoji23][emoji23] wabongo bwana..ulitaka afanyaje sasa..achukue kwa nani ...hakuna biashara ya peke yako duniani hapa...Idea nzuri ila kachukua kwa mtoto wa Will Smith hata aina ya gari
Usijali.Nilikosa mtaji tu [emoji22][emoji22]
Kwahio dogo wewe unasubiri harmonize aje na idea ipi na kuingiza hela , hujiulizi na wewe kesho utaingiza hela kiasi gani na utakuja na idea gani ya kupata hela nyingi.?!Akimaliza na hili sijui litafuata nini.....
Ujinga mzigo.
Bora umesema, bongo kwa kupangiana mmmhHilo la kusomesha watoto atafanya mtu mwingine yeye kachagua hili.
Watu kibao duniani wanafanya,Hii idea amechukua kwa jaden smith mtoto wa will smith. Ni nzuri kama itafanikiwa kuwafikia wanaostahiki. Abarikiwe kwa kuwa na moyo wa ku share.
Mm tayari nafanya nimetoa 75K kwa akina mama 20 kwa kila mmoja hapa mtaani miezi mitatu iliyopita baada ya kuona idea yao ya kufanya kazi ya umama lishe ni nzuri. Sema wengine hatupendi showoffYeye kachagua hilo, wewe fanya hili ulilopendekeza.