Wewe umetoa mchango gani kwa jamii yako inayokuzunguka? Shitholeni ujinga ujinga tu..
Me nafkiri Hilo LA kusomesha ufanye ww, harmo kaamua Kugawa chakulaIt's good idea, lakini kwa maoni yangu angewaza kivingine zaidi, mfano kusomesha watoto yatima, kusaidia wenye uhitaji maalum n.k
Chakula hakijwahi kumtosheleza mtu, tumbo halina Shukran ukila asbh mchana tumbo linataka tena, ukila mchana usiku unahisi njaa...
Hivyo angesaidia watu ili waweze kujikwamua kiuchumi, kielimu hapo sawa
Ok!Wewe umetoa mchango gani kwa jamii yako inayokuzunguka? Shithole
Sawa
Mbona unaleta nongwa? Au unaujauzitoNawewe si ukafanye hivyo vingine? Hivi ni lazima kila mtu afanye vile unavyovipenda wewe? Mi Tanzania bana, shitholes.
Idea ya hivyo ukimpa MTU chakula kwa Siku 1 hujasaidia Bali umeongeza tatizo.
Agawe mitaji kwa hao anaowalenga kuwapatia hicho chakula. Ili wafanye kazi kuzalisha na wao kuwa na uhakika wa chakula kila kukicha.
Mfwasi wa Domo uyoYeye kasema anafanya charity, wewe unasema sio charity, kakwambia sio charity? sasa ni nini?
Wa mikoani tunapataje huo ubweche?