Harmonize a.k.a Kondeboy aja na chakula cha bure

Harmonize a.k.a Kondeboy aja na chakula cha bure

HB.com

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
608
Reaction score
639
Msanii na CEO wa KONDE GANG Harmonize, ametuletea idea yake ya kugawa chakula Cha bure mitaani.

Amethibitisha hilo kwenye post zake za Instagram alizo ziweke Hivi karibuni

Picha.
Screenshot_20190924-204822.jpeg
Screenshot_20190924-204758.jpeg
 
Akimaliza na hili sijui litafuata nini.....

Ujinga mzigo.
 
Apite na huku madongo poromoka nitakua namsubiri na sahani yangu
 
Hii idea amechukua kwa jaden smith mtoto wa will smith. Ni nzuri kama itafanikiwa kuwafikia wanaostahiki. Abarikiwe kwa kuwa na moyo wa ku share.
 
Mungu akubariki Harmonize...

Tafuta jinsi ya kupata support kwenye hili..

I’m sure watu wako tayari kukuunga mkono in giving back to society
It's good idea, lakini kwa maoni yangu angewaza kivingine zaidi, mfano kusomesha watoto yatima, kusaidia wenye uhitaji maalum n.k
Chakula hakijwahi kumtosheleza mtu, tumbo halina Shukran ukila asbh mchana tumbo linataka tena, ukila mchana usiku unahisi njaa...
Hivyo angesaidia watu ili waweze kujikwamua kiuchumi, kielimu hapo sawa
 
It's good idea, lakini kwa maoni yangu angewaza kivingine zaidi, mfano kusomesha watoto yatima, kusaidia wenye uhitaji maalum n.k
Chakula hakijwahi kumtosheleza mtu, tumbo halina Shukran ukila asbh mchana tumbo linataka tena, ukila mchana usiku unahisi njaa...
Hivyo angesaidia watu ili waweze kujikwamua kiuchumi, kielimu hapo sawa
Hilo la kusomesha watoto atafanya mtu mwingine yeye kachagua hili.
 
Back
Top Bottom